Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika kwa lugha unayoijua vizuri. No body care ndiyo nini? PatheticHamna cha utajiri wowote hapo jamaa anaumwa Ila ndo hivyo no body care.
Humu lugha za kigeni saa ingine unasoma mpaka unapata kizungu zunguAndika kwa lugha unayoijua vizuri. No body care ndiyo nini? Pathetic
Tuvumiliane tu kama tunaelewana, japo si vizuri kutumia lugha ambayo huijui vyema wakati kuna ambayo unaijua vizuri. Mfano mimi siwezi kuandika humu kwa kifaransa wakati kuna kiswahili na Kiingeeza japo kifaransa nakijua kwa mbaliiiiHumu lugha za kigeni saa ingine unasoma mpaka unapata kizungu zungu
Hata mm nilipomuona kule tip top alikuwa na mateja anaongozana nao pamoja na hali yake ila watu wanamkubali kinoma noma.Ulikutana naye maeneo yapi? Huwa anakujaga msasani pale maandaz road maskani moja ya mateja nshakutana naye mara mbili asubuhi ..hali ya mguu ni mbaya kweli
Wewe ulimpa msaada gani kabla ya kukimbilia hapa JF na kuanzisha huu uzi?Juzi natoka katika show ya Friday night live ndo nimekaa na Chid Benz jamaa anaumwa Sana huo mguu unanuka hatari na mbaya zaidi jamaa anakaa amelewa 24/7 kutembea vizuri hawezi na akivaa kiatu ngozi inabaki ndani
Picha ya mguu tafadhaliChid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.
Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.
Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.
Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Basi usiwalaumu sana ambao hawajamsaidia mpaka sasa hivi coz hata wewe hukumsaidia kitu,Kushare hii taarifa hapa lazima atapata msaada Mkubwa
Dear young generation if you touch the shit and get high you will never go backChid hayupo tayari kile kidonda kipone. Ameshafanya mtaji wa kumuingizia buku buku za ngada
Ujuaji mwingi ndio unamponza
Wanaotaka kumsaidia wampeleke hospital na sio kumpa pesa. Japo yeye hataki msaada huo, yeye anataka pesa then atajua cha kufanya
Wanaotaka kwenda kumuona kabla hajafa, Yupo pale ilala boma, kituo cha shule msingi kwenye zile kota ndio mitaa yake
Tutammiss sana RugeChid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.
Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.
Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.
Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Mguu unatibiwa ila hauwezi pona kama hataki kuacha unga. Kidonda kitapona vipi na anakula unga 24 hours? Yani unataka ndugu au marafiki wafanyaje?Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.
Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.
Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.
Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Sumu hizoAfu sijui kwann drug addicts huwa wanapatwa matatizo ya kuoza miguu, angalia mateja wote miguu yao inakuwaga ina shida hizo