Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Dawa zinapelekea poor blood circulation hence kunakuwa na ugumu vidonda kuponaAfu sijui kwann drug addicts huwa wanapatwa matatizo ya kuoza miguu, angalia mateja wote miguu yao inakuwaga ina shida hizo
Tatizo sio bangi mkuu, anatumia unga, bangi haina madhara tatizo ni unga. Naweka rekodi sawa!
[emoji706][emoji867]Kama anakufa afe tu, "every man has his breaking point"
Duh walimtia cheketuUsiombee familia yako wawe na mtu kama chid Benz. Kuna familia moja ipo Ilala walikuwa na mtu kama huyo miaka ya tisini. Bahati nzuri enzi hizo Cocaine haikuwa kivile. so jamaa alikuwa anatumia bangi na pombe Kali konyagi na gongo.
Alikuwa kama teja mchafu kachoka akaanza na udokozi. Halafu mjuaji kinoma anatukana watu mbishi
Cha ajabu sasa kwako pa kishua dingi wa kishua maza wa kishua kaka zake dada zake wadogo zake wamesoma wana kazi kubwa nzuri yeye yupo tofauti kabisa nao japo alikacha shule form two.
Can u imagine yani familia ambayo lets say mtoto wa kwanza ni Profesa Mukandala, wa Pili Zitto Kabwe, wa tatu Dokta Tulia, wanne anakuwa mlevi bange kibaka mpiga debe mnywa gongo halafu wadogo zake mmoja Mwigulu mwingine Ally Hapi. Yani hakuna symmetry.
Walicho kifanya ndugu walileta mganga akapewa jini likamlimbiza akapotea akaenda kusiko julikana.
Maana jamaa alikuwa anafanya makusudi kuwachoresha wanafamilia
Wafafanue zaidi ana laana kivpUkikaa na watu wanaomjua chid, wanakuambia chid ana laana ndani yake,
Mkuu kama unajua lolote kiundani tuambie na sisi tufahamu, Chidibenz ni anapendwa na wengi,Laana ya familia inaitwa
Kuna code alizivunja hivyo haitokaa arudi katika nafasi yake
Naweza kukubaliana nawe mkuu, Mimi nimeanza kumfahamu chid toka late 1990s anajiita benzino alikuwa mkorofi, mtata Sana Sana. Ngumi mkononi, ubabe, mkizinguana ugomvi wake hauishi. Alipokuja kutoboa na akapata pesa starehe zikamteka shida ilianza baada ya kuporomoka stress zile za kuporomoka music ndo zimeleta balaa lote hili. Blue, Diamond, Kiba n wengine wamembeba Sana ila shida HABEBEKIIII.Laana ya familia inaitwa
Kuna code alizivunja hivyo haitokaa arudi katika nafasi yake
Wasanii wa Tanzania wanazingua mjue, mfumo wa maisha wanaoishi ni wa Kimarekani kabisa wanapokuwa na pesa zao ingawaje hatutakiwi kuwapangia cha kufanya.
Zikiisha na wakipatwa na matatizo wanataka kurudi kwenye mfumo wa Kitanzania tuwachangie.
SIsi watanzania wa vipato vya hali zote tutawachangia sawa, ila na sisi tukipatwa na majanga wao wasanii wanatusaidia nini?
Kuna watu kila siku wanatangazwa ITV wakiomba msaada wa kimatibabu husikii msanii fulani kusaidia, ila wanangoja kwenye majanga makubwa na kamera nyingi wajipatie umaarufu.
Wanaishi mfumo wa maisha wa kimarekani, sijawahi kusikia wamarekani wakimchangia Whitney Houston kutokana na tatizo lake la matumizi ya madawa.
Hata mimi nimewahi kutana nae maeneo hayo ya Tip Top kuna Bar inaitwa Cape Town ya makuti yupo rafu na kalewa.Kuna siku asubuhi kama saa moja hivi nilimuona maeneo ya manzese tiptop yuko na wahuni wahuni, na kweli mguu ule ni tatizo.
Ila kama yeye hajakubali kubadilika ni ngumu kumforce abadilike. Wala ngada wengi huanza kwa kukongongoroka miili, kua na vipara na matatizo ya miguu na akili.
Attitude ya chidibenz ni ngumu ku deal naye, ila kwa hapa alipofikia sasa yuko hatarini sana ule mguu kama umeuona siku za karibuni utakua unaelewaTatizo mbishi sana alafu mkali mkali, watu wa kumsaidia wapo na wamewahi kufanya hivyo Ila tatizo ni hilo uwe na moyo mgumu maana ana mineno ya shombo sana
Hii ni kaliii hahahahahaahUsiombee familia yako wawe na mtu kama chid Benz. Kuna familia moja ipo Ilala walikuwa na mtu kama huyo miaka ya tisini. Bahati nzuri enzi hizo Cocaine haikuwa kivile. so jamaa alikuwa anatumia bangi na pombe Kali konyagi na gongo.
Alikuwa kama teja mchafu kachoka akaanza na udokozi. Halafu mjuaji kinoma anatukana watu mbishi
Cha ajabu sasa kwako pa kishua dingi wa kishua maza wa kishua kaka zake dada zake wadogo zake wamesoma wana kazi kubwa nzuri yeye yupo tofauti kabisa nao japo alikacha shule form two.
Can u imagine yani familia ambayo lets say mtoto wa kwanza ni Profesa Mukandala, wa Pili Zitto Kabwe, wa tatu Dokta Tulia, wanne anakuwa mlevi bange kibaka mpiga debe mnywa gongo halafu wadogo zake mmoja Mwigulu mwingine Ally Hapi. Yani hakuna symmetry.
Walicho kifanya ndugu walileta mganga akapewa jini likamlimbiza akapotea akaenda kusiko julikana.
Maana jamaa alikuwa anafanya makusudi kuwachoresha wanafamilia
Ni donda ndugu ,sukari au madhara ya ngada?Attitude ya chidibenz ni ngumu ku deal naye, ila kwa hapa alipofikia sasa yuko hatarini sana ule mguu kama umeuona siku za karibuni utakua unaelewa