Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Wasanii wa Tanzania wanazingua mjue, mfumo wa maisha wanaoishi ni wa Kimarekani kabisa wanapokuwa na pesa zao ingawaje hatutakiwi kuwapangia cha kufanya.
Zikiisha na wakipatwa na matatizo wanataka kurudi kwenye mfumo wa Kitanzania tuwachangie.
SIsi watanzania wa vipato vya hali zote tutawachangia sawa, ila na sisi tukipatwa na majanga wao wasanii wanatusaidia nini?
Kuna watu kila siku wanatangazwa ITV wakiomba msaada wa kimatibabu husikii msanii fulani kusaidia, ila wanangoja kwenye majanga makubwa na kamera nyingi wajipatie umaarufu.
Wanaishi mfumo wa maisha wa kimarekani, sijawahi kusikia wamarekani wakimchangia Whitney Houston kutokana na tatizo lake la matumizi ya madawa.
 
Si wanasema mtu anayetumia ngada akipata tatizo la kidonda mguuni akiponi?
 
Huyu jamaa Chidibenz (kingkong) kama angekua na nidhamu angekua ameipeleka hiphop ya bongo international ana uwezo mkubwa sana, ni vile alikosa nidhamu na kwa sasa sidhani kama ataweza kurudi tena kwenye ule ubora wake wa miaka ya 2010
 
Usiombee familia yako wawe na mtu kama chid Benz. Kuna familia moja ipo Ilala walikuwa na mtu kama huyo miaka ya tisini. Bahati nzuri enzi hizo Cocaine haikuwa kivile. so jamaa alikuwa anatumia bangi na pombe Kali konyagi na gongo.

Alikuwa kama teja mchafu kachoka akaanza na udokozi. Halafu mjuaji kinoma anatukana watu mbishi

Cha ajabu sasa kwako pa kishua dingi wa kishua maza wa kishua kaka zake dada zake wadogo zake wamesoma wana kazi kubwa nzuri yeye yupo tofauti kabisa nao japo alikacha shule form two.

Can u imagine yani familia ambayo lets say mtoto wa kwanza ni Profesa Mukandala, wa Pili Zitto Kabwe, wa tatu Dokta Tulia, wanne anakuwa mlevi bange kibaka mpiga debe mnywa gongo halafu wadogo zake mmoja Mwigulu mwingine Ally Hapi. Yani hakuna symmetry.

Walicho kifanya ndugu walileta mganga akapewa jini likamlimbiza akapotea akaenda kusiko julikana.

Maana jamaa alikuwa anafanya makusudi kuwachoresha wanafamilia
Duh walimtia cheketu
 
Laana ya familia inaitwa

Kuna code alizivunja hivyo haitokaa arudi katika nafasi yake
 
Laana ya familia inaitwa

Kuna code alizivunja hivyo haitokaa arudi katika nafasi yake
Naweza kukubaliana nawe mkuu, Mimi nimeanza kumfahamu chid toka late 1990s anajiita benzino alikuwa mkorofi, mtata Sana Sana. Ngumi mkononi, ubabe, mkizinguana ugomvi wake hauishi. Alipokuja kutoboa na akapata pesa starehe zikamteka shida ilianza baada ya kuporomoka stress zile za kuporomoka music ndo zimeleta balaa lote hili. Blue, Diamond, Kiba n wengine wamembeba Sana ila shida HABEBEKIIII.
 
Ni kweli imagine konde boy anakula Madem yenyee mitakoo Mii nateswa na upwiruuu baadae miiaka 8 kaka Juu ya bati,anaumwa helaa Hana nichangee,tukiitisha maandamano wenginee wanaimba wachaawaisomee nambaaa.Hapanaa,chid anazingua yeyee anapiga stalehee ameshindwa kujali maisha yake nani amjalie maisha yake,Tunamwachia Mungu.
Wasanii wa Tanzania wanazingua mjue, mfumo wa maisha wanaoishi ni wa Kimarekani kabisa wanapokuwa na pesa zao ingawaje hatutakiwi kuwapangia cha kufanya.
Zikiisha na wakipatwa na matatizo wanataka kurudi kwenye mfumo wa Kitanzania tuwachangie.
SIsi watanzania wa vipato vya hali zote tutawachangia sawa, ila na sisi tukipatwa na majanga wao wasanii wanatusaidia nini?
Kuna watu kila siku wanatangazwa ITV wakiomba msaada wa kimatibabu husikii msanii fulani kusaidia, ila wanangoja kwenye majanga makubwa na kamera nyingi wajipatie umaarufu.
Wanaishi mfumo wa maisha wa kimarekani, sijawahi kusikia wamarekani wakimchangia Whitney Houston kutokana na tatizo lake la matumizi ya madawa.
 
Kuna siku asubuhi kama saa moja hivi nilimuona maeneo ya manzese tiptop yuko na wahuni wahuni, na kweli mguu ule ni tatizo.

Ila kama yeye hajakubali kubadilika ni ngumu kumforce abadilike. Wala ngada wengi huanza kwa kukongongoroka miili, kua na vipara na matatizo ya miguu na akili.
Hata mimi nimewahi kutana nae maeneo hayo ya Tip Top kuna Bar inaitwa Cape Town ya makuti yupo rafu na kalewa.

Kama kumsaidia wamtoe nje ya Dar, kama kipindi cha nyuma walimpeleka Sober Bagamoyo
 
Tatizo mbishi sana alafu mkali mkali, watu wa kumsaidia wapo na wamewahi kufanya hivyo Ila tatizo ni hilo uwe na moyo mgumu maana ana mineno ya shombo sana
 
Tatizo mbishi sana alafu mkali mkali, watu wa kumsaidia wapo na wamewahi kufanya hivyo Ila tatizo ni hilo uwe na moyo mgumu maana ana mineno ya shombo sana
Attitude ya chidibenz ni ngumu ku deal naye, ila kwa hapa alipofikia sasa yuko hatarini sana ule mguu kama umeuona siku za karibuni utakua unaelewa
 
Usiombee familia yako wawe na mtu kama chid Benz. Kuna familia moja ipo Ilala walikuwa na mtu kama huyo miaka ya tisini. Bahati nzuri enzi hizo Cocaine haikuwa kivile. so jamaa alikuwa anatumia bangi na pombe Kali konyagi na gongo.

Alikuwa kama teja mchafu kachoka akaanza na udokozi. Halafu mjuaji kinoma anatukana watu mbishi

Cha ajabu sasa kwako pa kishua dingi wa kishua maza wa kishua kaka zake dada zake wadogo zake wamesoma wana kazi kubwa nzuri yeye yupo tofauti kabisa nao japo alikacha shule form two.

Can u imagine yani familia ambayo lets say mtoto wa kwanza ni Profesa Mukandala, wa Pili Zitto Kabwe, wa tatu Dokta Tulia, wanne anakuwa mlevi bange kibaka mpiga debe mnywa gongo halafu wadogo zake mmoja Mwigulu mwingine Ally Hapi. Yani hakuna symmetry.

Walicho kifanya ndugu walileta mganga akapewa jini likamlimbiza akapotea akaenda kusiko julikana.

Maana jamaa alikuwa anafanya makusudi kuwachoresha wanafamilia
Hii ni kaliii hahahahahaah
 
Attitude ya chidibenz ni ngumu ku deal naye, ila kwa hapa alipofikia sasa yuko hatarini sana ule mguu kama umeuona siku za karibuni utakua unaelewa
Ni donda ndugu ,sukari au madhara ya ngada?
 
Back
Top Bottom