mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,753
Enzi hizo miaka ya 2000 muziki ulifanyika kwa kiwango kikubwa sana na majina ya wasanii yakapaa, hata shoo walizokuwa wakienda kufanya mikoani zilivutia na kujaza watu japo PA ilikuwa inafanyika kwa kuzungushwa mitaani na gari za Land lover, hahahaha eehh land lover,
Mimi leo nataka kufahamu hawa wadau kwa sasa wako wapi, hivi media haziwezi hata kuwatafuta nakufanya nao mahojiano
Lakini pia kulikuwa na watu maarufu kama producers hata watangazaji waliovuma enzi hizo, kwa sasa wako wapi
John B wa Grandmaster
Muumin Mwinjuma
Pauline Zongo
Said Comolie
Buff G wa East Coast
Bizman
H Mbizo, )nilonge nisi longe)
Picco (kikongwe)
Bablee (kizizi)
KGT
Nuruelly
Squezer (kaka yake Dataz)
Producer Ambah (alikuwa wa iringa jamaa)
Mike Tee (mnyalu)
Alicom
Dknob
Snea wa East Coast
Lil Ghetto wa Akhenato record
Black wa Uswaz
Ongeza nawewe listi yako
Mimi leo nataka kufahamu hawa wadau kwa sasa wako wapi, hivi media haziwezi hata kuwatafuta nakufanya nao mahojiano
Lakini pia kulikuwa na watu maarufu kama producers hata watangazaji waliovuma enzi hizo, kwa sasa wako wapi
John B wa Grandmaster
Muumin Mwinjuma
Pauline Zongo
Said Comolie
Buff G wa East Coast
Bizman
H Mbizo, )nilonge nisi longe)
Picco (kikongwe)
Bablee (kizizi)
KGT
Nuruelly
Squezer (kaka yake Dataz)
Producer Ambah (alikuwa wa iringa jamaa)
Mike Tee (mnyalu)
Alicom
Dknob
Snea wa East Coast
Lil Ghetto wa Akhenato record
Black wa Uswaz
Ongeza nawewe listi yako