sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Hahaahaaa!...aya bana mkuu,ila najua mwaka huu mtazikataa tuzo zote kwa kusema ni low quality coz Of KIBA...na bado KIBA anakaba hadi penalty na atabanana na huyo MONDI hadi kwenye TUZO MBILI ZILIZOBAKI ZITAKAZOACHIA NOMINEES WAO NDANI YA WIKI IJAYO!
Hazina maana hizo tuzo..kiba hastahili..