ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Jana Zuchi alirushiwa chupa na mawe jukwaani baada ya kusifia kizimkazi na kusema mitano tena
Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa
Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa, ntakuja mpigwe na raia bure
Wasanii tafuteni washauri
PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa
Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa, ntakuja mpigwe na raia bure
Wasanii tafuteni washauri
PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa