Wasanii punguzeni uchawa na kiherehere, ya Zuchu huko Mbeya yatawakuta sana

Wasanii punguzeni uchawa na kiherehere, ya Zuchu huko Mbeya yatawakuta sana

kama chadema wameingiza mamluki wa kisiasa burudanini kumchafua huyu binti watakua wamewakosea sana watanzania wallah
Wananchi hawako interest na Chadema wala chama chochote cha siasa. Wao watamuunga mkono yoyote yule anayeenda kinyume na CCM.

Huu upinzani mnaotengeneza saivi ndio mbaya sasa. Watu wana hasira kwenye mioyo yao na ikitokea wanapata fursa pa kuzitoa ndio yanatoke hayo ya kina Zuchu na genge lake.
 
Kunammoja huku Mwanza alikuja kwenye kijiwe Chetu cha bodaboda akijifanya kusema mitano Tena Kwa mama amechezea ngumi na makofi ya kutosha Hadi amepelekwa hospitali baada ya kuzimia.Naona watanzania tumeanza kujitambua
 
Tushaipata dawa yao sasa hivi kila tamasha tunalipia kingilio wahuni 50 tu sasa msanii jichanganye ulete habari za siasa vijana wanakiwasha yani mpaka wakome shubamit zao, kiufupi kazi imekuwa ngumu waache İngilia majukumu ya T.O.T PLUS band
 
Kama kweli alisema mitano tena ameyataka mwenyewe, watu wamepagawa jinsi nchi inavyoendeshwa kipumbavu then yeye anapeleka uchawa jukwaani.
She got what she asked for.
 
Back
Top Bottom