Ni sawa msanii kuwanyoshea dole la kati mashabiki?kama chadema wameingiza mamluki wa kisiasa burudanini kumchafua huyu binti watakua wamewakosea sana watanzania wallah
Ccm walishindwa kupenyeza vijana wa kumsifia?kama chadema wameingiza mamluki wa kisiasa burudanini kumchafua huyu binti watakua wamewakosea sana watanzania wallah
Wananchi hawako interest na Chadema wala chama chochote cha siasa. Wao watamuunga mkono yoyote yule anayeenda kinyume na CCM.kama chadema wameingiza mamluki wa kisiasa burudanini kumchafua huyu binti watakua wamewakosea sana watanzania wallah
Kama ni burudani kusema Mitano Tena ilikua ni kiitikio Cha wimbo au alikua ametumwa na NCCR MAGEUZI!kama chadema wameingiza mamluki wa kisiasa burudanini kumchafua huyu binti watakua wamewakosea sana watanzania wallah
Kwa nini mkuu?Mitano tena kipindi hiki,ni msemo ambao unaweza kukugharimu sana
ooh kumbe alimdokezea mamaJana Zuchi alirushiwa chupa na mawe jukwaani baada ya kusifia kizimkazi na kusema mitano tena
Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa
Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa, ntakuja mpigwe na raia bure
Wasanii tafuteni washauri
PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Jana Zuchi alirushiwa chupa na mawe jukwaani baada ya kusifia kizimkazi na kusema mitano tena
Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa
Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa, ntakuja mpigwe na raia bure
Wasanii tafuteni washauri
PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa