jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
Anaropoka tu kwa chuki zakeIbrah hujui anapoelekea unataka aelekee wapi labda ?
kwahiyo unampangia MTU mipango yake?
Kuwa amsaini nani si ndio?
Halafu skales hajafika popote hivi unamjua vizuri ama?
Skales ni msanii mkubwa tayari mpka huku tulimfahamu kabla ya hata kusign na konde gang.
MTU kama wewe hujawahi hata kuwepo hujawahi hata kuwepo kwenye industry ya mziki halafu unajifanya bingwa wa kutabiri maanguko ya watu
Harmonize akipotea wewe unafaidika nini?
Chuki zinamponza uyo bwegegeHivi wewe namna gani?
Unapokuwa wcb automatic unakuwa msanii popular. Wana die hard fans wao siku ukiondoka unawaacha pale mfano ni mavoko na harmonize.kama kweli ngoja uone zuchu akitoka wcb kama atapata mashabiki kama hawa wa wcb.
Ukiwa lebel kubwa unapata promo ,hutolei jasho ,mauzo ya kazi zako wanasimamia sasa huoni tofauti ilipo?
Kondegang ni ka lebel kadogo kanachoanza kujitutumua
Nilidhani upo makin kumbe
Zuchu anafanya poa kwa nyimbo zipi hebu tuacheni bwana...promo hadi mnapata vikohoziUtaona mfano Zuchu anafanya poa, huwezi mcompare na Ibra achilia mbali kumlinganisha na Zuchu Ibra hafanyi poa huwezi kucompare hata kipinfi wakina Mario wanatoka.
Any way ngoja tujipe muda.