Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

Ibrah hujui anapoelekea unataka aelekee wapi labda ?
kwahiyo unampangia MTU mipango yake?
Kuwa amsaini nani si ndio?
Halafu skales hajafika popote hivi unamjua vizuri ama?
Skales ni msanii mkubwa tayari mpka huku tulimfahamu kabla ya hata kusign na konde gang.
MTU kama wewe hujawahi hata kuwepo hujawahi hata kuwepo kwenye industry ya mziki halafu unajifanya bingwa wa kutabiri maanguko ya watu
Harmonize akipotea wewe unafaidika nini?
Anaropoka tu kwa chuki zake
 
Hivi wewe namna gani?
Unapokuwa wcb automatic unakuwa msanii popular. Wana die hard fans wao siku ukiondoka unawaacha pale mfano ni mavoko na harmonize.kama kweli ngoja uone zuchu akitoka wcb kama atapata mashabiki kama hawa wa wcb.
Ukiwa lebel kubwa unapata promo ,hutolei jasho ,mauzo ya kazi zako wanasimamia sasa huoni tofauti ilipo?
Kondegang ni ka lebel kadogo kanachoanza kujitutumua
Nilidhani upo makin kumbe
Chuki zinamponza uyo bwegege
 
Najiuliza hivi hawa wasanii wangekuwa wamechukuliwa na WCB,humu pange chafuka threads zingekuwa 100 nakutabiri "wanaenda kudhulumiwa".

Naona ndugu yangu Robidinyo sijui hana habari au ameamua kukaa kimya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ngojea tuwape muda,siku zote muda huwa unaongea.Nampa pole Kiba kwa kufanya kazi ya Kanisa mpaka kuiconvert label na sasa mwenyewe anaiita College.

kuwekeza kwa wana mziki wa bongo kazi sito shangaa hao watoto waki mgeuka Konde.
 
Utaona mfano Zuchu anafanya poa, huwezi mcompare na Ibra achilia mbali kumlinganisha na Zuchu Ibra hafanyi poa huwezi kucompare hata kipinfi wakina Mario wanatoka.
Any way ngoja tujipe muda.
Zuchu anafanya poa kwa nyimbo zipi hebu tuacheni bwana...promo hadi mnapata vikohozi
 
Back
Top Bottom