Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

Wasanii wa Alikiba wasainiwa na Harmonize

Asksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.

Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Amekuwa mr kiki
 
Zuchu anafanya POA sio kuliko ibra tu sasa hivi umaarufu wa zuchu kamzidi hadi huyo konde . Ukitaka proof angalia hata mtaani kwako ngoma za nani zinalia Sana.
Halafu mimi ninaona kina cheed na killy wamefail sana kwenda kwa harmonize. Ni bora wangebaki kwa kiba tu
Upo sahihi huyo jamaa naona wakati unampita.
 
Bila shaka hii comment imeandikwa na kijana aliyemaliza chuo halafu jobless ambae hajui hata siku yake ataimaliza vipi, mara nyingi mnakuaga so bitter kwa vijana wenzenu waliotusua kimaisha halafu hawajasoma,

#No hard feelings tho#
#Panic at your risk#
[emoji38][emoji38]
hahaha 🤣🤣🤣
 
Mmekaa Dar mnafikiri ndio nchi nzima

Huku mikoani tunajiuliza Zuchu ndio nani?
Huku zinalia zaidi za Ibrah
Zuchu anafanya POA sio kuliko ibra tu sasa hivi umaarufu wa zuchu kamzidi hadi huyo konde . Ukitaka proof angalia hata mtaani kwako ngoma za nani zinalia Sana.
Halafu mimi ninaona kina cheed na killy wamefail sana kwenda kwa harmonize. Ni bora wangebaki kwa kiba tu
 
Zuchu ndio nani? Labda kahama, niliko hatuwajui hao hata huyo ibrah tunawaonaga tu mitandaoni na kidogo kwenye tv, huku kama hufuatilii muziki huwezi kuwajua hao watoto
Acha porojo hiv umeona mapokezi ya Zuchu kahama?
 
Kondeboy kachemka sana kuwachukua hao madogo, mi naona watamletea hasara zaidi kuliko faida. Hasara ya kwanza ategemee kuwapoteza mashabiki wa Kiba waliokuwa wanamsapoti, pili hao madogo sioni kama wana maajabu
 
Mo
Mziki ni show buzz, ukifanya vizuri utakuwa midmoni mwa watu, utasikika kwenye bajaj, boda boda, utapata views za kutosha. Lakini kama husikiki ina maana unapote, na ukisika ndipo utapata shows uta make money.
Anyway, time narudia time will tell kwani muda uwa haudanganyi
Most viewed song ya ibra ina 7.7m
ya zuchu ina 7m
Almost video zake zote zina hit 1m+

unahitaji.mafanikio gani kwa msanii ambaye ana miezi kadhaa kwenye game zaidi ya hayo? kama utaitazama konde gang kwa kuicompare na wasafi utakuwa una mapungufu kichwani.
Konde gang now wanastrugle kutafuta wafuasi, Wasafi walishatoka huko. kwa mantinki hiyo konde gang wanafanya vizuri tu, unless ujifanye haujui kitu.
 
Clouds hawajare tocover kutokana na pengo la Ruge.
Na nimemsikiia Bdozen anakiri kwamba Ruge angekuwepo asingehama.

So you can guess nini kinaendelea.
Social media influence, kinachotokea kwenye radio na tv media ni kwa sababu ya digital platforms, nothing else. Hata wasanii siku hizi wanatambulisha nyimbo zao huko kwenye digitals, everything hadi exclusives zinaanzia huko, simply asitafutwe mchawi kwenye hili
 
Mo

Most viewed song ya ibra ina 7.7m
ya zuchu ina 7m
Almost video zake zote zina hit 1m+

unahitaji.mafanikio gani kwa msanii ambaye ana miezi kadhaa kwenye game zaidi ya hayo? kama utaitazama konde gang kwa kuicompare na wasafi utakuwa una mapungufu kichwani.
Konde gang now wanastrugle kutafuta wafuasi, Wasafi walishatoka huko. kwa mantinki hiyo konde gang wanafanya vizuri tu, unless ujifanye haujui kitu.
By the way lengo halikuwa kumcmpare Ibra na Zuchu, ila lilikuwa kusema general wise hafanyi vizuri, kama ukitaka kumcompare hata kwenye views za youtube nitakwambia zuchu anafanya vizuri maana nyimbo zake zote zina views 3+ we umechagua wimbo mmoja tu tena aliomshirikisha Harmonize wakati hizo za Zuchu hajamshirikisha diamond angefanya hivyo tungekuwa tunaongelea 10 milions plus.
Si kwamba niko upande wa WCB, actually mimi ni kati ya wale waliokuwa upande wa harmonize alipoondoka WCB ila kwa mambo yalivyo sina hakika kama ataweza simamisha label yenye wasanii wenye nguvu maana anagusa gusa vitu.
Tumpe muda lakini huenda siko sahihi.
 
Social media influence, kinachotokea kwenye radio na tv media ni kwa sababu ya digital platforms, nothing else. Hata wasanii siku hizi wanatambulisha nyimbo zao huko kwenye digitals, everything hadi exclusives zinaanzia huko, simply asitafutwe mchawi kwenye hili
Wanakumbwa na upepo uliyo yakumba magazeti, siku hizi huhitaji kusoma magazeti kupata habari za wasanii maana unazipata instantly. Halafu pia vipindi vya redio navyo vimekuwa kama vinafanana interview za wasanii ni zile zile utasikia mambo yale yale uliyokwisa yasikia.
Unachosema ni kweli diital platforms zimekuwa na nguvu sana msanii anaweza toa wimbo akaupromote insta akauweka kwenye diital platforms na ukaenda.
 
By the way lengo halikuwa kumcmpare Ibra na Zuchu, ila lilikuwa kusema general wise hafanyi vizuri, kama ukitaka kumcompare hata kwenye views za youtube nitakwambia zuchu anafanya vizuri maana nyimbo zake zote zina views 3+ we umechagua wimbo mmoja tu tena aliomshirikisha Harmonize wakati hizo za Zuchu hajamshirikisha diamond angefanya hivyo tungekuwa tunaongelea 10 milions plus.
Si kwamba niko upande wa WCB, actually mimi ni kati ya wale waliokuwa upande wa harmonize alipoondoka WCB ila kwa mambo yalivyo sina hakika kama ataweza simamisha label yenye wasanii wenye nguvu maana anagusa gusa vitu.
Tumpe muda lakini huenda siko sahihi.
Muziki siyo views, Kwasababu kuna zingine ni paid views.

In short huwa Zuchu kagharamikiwa sana kiasi gani hata matokeo ya huo uwekezaji yalitakiwa kuzidi hapo.
- Kuanzia branding affair Mlimani City

- Paid Views kumtangaza

- Beef za kulazimisha

& Both media and social media campaign

- Ukiwekeza mtaji wa elfu hutakiwi kuoata faida sawa na aliwekeza milioni 10 .

Itakuwa ni totat failure
 
Muziki siyo views, Kwasababu kuna zingine ni paid views.

In short huwa Zuchu kagharamikiwa sana kiasi gani hata matokeo ya huo uwekezaji yalitakiwa kuzidi hapo.
- Kuanzia branding affair Mlimani City

- Paid Views kumtangaza

- Beef za kulazimisha

& Both media and social media campaign

- Ukiwekeza mtaji wa elfu hutakiwi kuoata faida sawa na aliwekeza milioni 10 .

Itakuwa ni totat failure
Lazima uinvest ndipo upate matokeo mazuri, investment kwake ni kumpromote, kumbrand, haijalishi njia gani watatumia lakini the end justifies the means.
Hata Harmonize wakati anatoka aligharamiwa, akabrandiwa, akatoa hit songs lakini bado hawakuruhusu afanye show kwa kipindi flani wakiwa wametarget awe hot.
Kwa sasa mziki ni technique kama vita vile kuna hata michezo rafu inachezwa ni kubaki kulia au nawe ucheze michezo hiyo hiyo, otherwise baada ya muda watu wanakusahau.
Jiulize kuna wasanii wangapi wanajua sana kuimba lakini ni kama vile wamesahaulika wanatoa nyimbo unakuta zina views 100k.
 
Mo

Most viewed song ya ibra ina 7.7m
ya zuchu ina 7m
Almost video zake zote zina hit 1m+

unahitaji.mafanikio gani kwa msanii ambaye ana miezi kadhaa kwenye game zaidi ya hayo? kama utaitazama konde gang kwa kuicompare na wasafi utakuwa una mapungufu kichwani.
Konde gang now wanastrugle kutafuta wafuasi, Wasafi walishatoka huko. kwa mantinki hiyo konde gang wanafanya vizuri tu, unless ujifanye haujui kitu.
Hiyo ya Ibra yenye 7.7 Ina muda gani ukilinganisha na ya zuchu 7.0
Zuchu ni brandly artist hata magu ana mjua
 
Mo

Most viewed song ya ibra ina 7.7m
ya zuchu ina 7m
Almost video zake zote zina hit 1m+

unahitaji.mafanikio gani kwa msanii ambaye ana miezi kadhaa kwenye game zaidi ya hayo? kama utaitazama konde gang kwa kuicompare na wasafi utakuwa una mapungufu kichwani.
Konde gang now wanastrugle kutafuta wafuasi, Wasafi walishatoka huko. kwa mantinki hiyo konde gang wanafanya vizuri tu, unless ujifanye haujui kitu.
Hii view ilikuja kipindi wanatambulishwa na hawajawah kuongezeka
 
Mo

Most viewed song ya ibra ina 7.7m
ya zuchu ina 7m
Almost video zake zote zina hit 1m+

unahitaji.mafanikio gani kwa msanii ambaye ana miezi kadhaa kwenye game zaidi ya hayo? kama utaitazama konde gang kwa kuicompare na wasafi utakuwa una mapungufu kichwani.
Konde gang now wanastrugle kutafuta wafuasi, Wasafi walishatoka huko. kwa mantinki hiyo konde gang wanafanya vizuri tu, unless ujifanye haujui kitu.

Nyimbo yenyewe iko kwenye Account ya Harmonize halafu unamlinganisha na ya Zuchu ambazo nyimbo zote ziko kwenye account yake kweli mkuu?![emoji23]

Zuchu amefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sanaa!
 
Jembe ni jembe hajui lolote mnampamba tuuu, alishafelisha program kibao before, Yes amefanikisha kumpigia chapuo kondeboy dili la sayona na CRDB nothing else, kaanzisha jembe ni jembe club , beach resort na jembe redio kule mwanza , zimeshine dk mbili now zipo ICU , akaanzisha jembeka festival kapiga mwaka mmoja tu wa pili chalii, Diamond kamchomolea show kibao jamaa akafura kwa hasira akaamua kumshawishi kondeboy na amemchukua harmonize akiwa hot cake na akiwa ni matokeo ya bitter struggle ya Diamond Platnumz ,....
Test yake ilikuwa Kwa Ibraah kama kawaida wimbo wa Kwanza ukakik , wa pili ukabuma tukaambiwa accnt yake YouTube haiko verified na bla blah kibao , wa tatu umetoka audio juzi , kwenye trending sjui Haupo mana naona wanyabi Tu instead ,
Wakamsign skales, yes Kwa mtu anayejielewa was a great deal lakn sjaona improvement ya nyimbo za skales Kwa ukanda huu wa East Africa , ....
Hatujakaa Sawa , Mara paap vijana wasio na makao from king music wametua Konde gang, .....
Sina mashaka na uwezo wa kondeboy maana with a lot of energy somehow he managed to survive sinking, .....

Ila Nina mashaka na uwezo wa jembe ni jembe kuhandle for a long Konde gang....
Pesa anazozitumia ni Yale mabilion aliyopiga Baba ake wa kambo pind akiwa wazir serikal ya kikwete...
Hua ninawaambia wadau wanabisha,kua harmonize bado anatembea na Hari ya wasafi
Hao akina ibra na wengine bado Wana Hari ya wasafi wasafi
 
Back
Top Bottom