Sugar dady
Senior Member
- Dec 6, 2018
- 131
- 194
Habari zenu wadau wa Sanaa,
Kama hapo juu, naomba mwenye ujuzi wa haya mambo anijuze jinsi wasanii wanavyopata pesa kupitia streams wakati hatulipii chochote zaidi ya MB tu.
Wanalipwaje? Pesa zinatoka wapi?
Ni hayo tu wadau
Sugar daddy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hapo juu, naomba mwenye ujuzi wa haya mambo anijuze jinsi wasanii wanavyopata pesa kupitia streams wakati hatulipii chochote zaidi ya MB tu.
Wanalipwaje? Pesa zinatoka wapi?
Ni hayo tu wadau
Sugar daddy
Sent using Jamii Forums mobile app