Sugar dady
Senior Member
- Dec 6, 2018
- 131
- 194
Heading yako nikajua wewe ndio unatuelekeza
Waje tujue bhana..heading yako imetuleta mbio kumbe nawe wataka kujua, wanakuja wataalamu
na kuna wanaopenda vya dezo.Pale mtoa Maelezo anapotaka tumpe maelezo.
Mambo yanakuwa mtelezo.
Yaani si Mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashukuru mods kwa kunirekebisha..Nilikosea presentation..Pale mtoa Maelezo anapotaka tumpe maelezo.
Mambo yanakuwa mtelezo.
Yaani si Mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!!sawa mkuu..waje wajuzi zaidi..mimi nadhani wanazi wa wcb watakuwa na maelezo ya kutosha kabisa,maana wasanii wao ndio wanaongoza kwa kupiga mihela huko apple play,boom play sportfy nk.
naskia kila wimbo unaponunuliwa anachukua 750.so ukinunuliwa mara 250000×750=ndio maana wanawakimbiza wasanii wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa nn zero IQ kwenye nyuzi za kawaida haonekani hata kuchangia mada hebu nipe majibu joanahHeading yako nikajua wewe ndio unatuelekeza
Mimi ni mzee wa papuchiHivi kwa nn zero IQ kwenye nyuzi za kawaida haonekani hata kuchangia mada hebu nipe majibu joanah
Sent using Jamii Forums mobile app
kama hamjui vitu msiwa mnacomment kupotosha watu..Mb , unazotumia wewe kuscream ndo zinabadilika zinakuwa pesa .maana wewe Mb uzipati bure.
Kwani hiyo wifi si wamelipia au unadhani wifi imetoka mbingunikama hamjui vitu msiwa mnacomment kupotosha watu..
Mb zinabadilikaje kuwa pesa?
Kama natumia free Wi-Fi?