Wasanii wa Bongo hali tete kwa sasa na YouTube Views

Wasanii wa Bongo hali tete kwa sasa na YouTube Views

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari!

Wasanii wa bongo walikuwa na mashindano yao walikuwa wanaumiza vichwa kufanya kazi zao kwa bidii na nguvu zote.

Sasa hivi karibuni yale mashindano na majigambo walikuwa wanatupiana nani amefanya kazi nzuri huku wakiamini YouTube Views ndio zinapoma ubora wa kazi zao.

Mambo yamekuwa si mambo takribani week ya pili sasa inaenda kukamilika YouTube pamekuwa kimya kilichoambatana na giza zito.

Giza hili halijulikani litaisha lini maana kwa mitandao mingine pia hali inaendelea kuwa tete.

Wale wale kundi kubwa walisahau kuwa tunaishi nyumba moja kwahiyo kama mwenye nyumba anavurugu basi vurugu tutazipata wote.

Pia kama mwenye nyumba ni mwema basi wema tungepata wote.

Haya tuendelee kutazama ila yale mashindano ya nani mwenye YouTube Views sasa kimya kabisa.
 
Habari!

Wasanii wa bongo walikuwa na mashindano yao walikuwa wanaumiza vichwa kufanya kazi zao kwa bidii na nguvu zote.

Sasa hivi karibuni yale mashindano na majigambo walikuwa wanatupiana nani amefanya kazi nzuri huku wakiamini YouTube Views ndio zinapoma ubora wa kazi zao.

Mambo yamekuwa si mambo takribani week ya pili sasa inaenda kukamilika YouTube pamekuwa kimya kilichoambatana na giza zito.

Giza hili halijulikani litaisha lini maana kwa mitandao mingine pia hali inaendelea kuwa tete.

Wale wale kundi kubwa walisahau kuwa tunaishi nyumba moja kwahiyo kama mwenye nyumba anavurugu basi vurugu tutazipata wote.

Pia kama mwenye nyumba ni mwema basi wema tungepata wote.

Haya tuendelee kutazama ila yale mashindano ya nani mwenye YouTube Views sasa kimya kabisa.
HAPO NDIO TUNAPOISOMA NAMBA WOTE, WENYE CHAMA NA TUSIO NA CHAMA. NA HALI ITAKUA MBAYA ZAIDI KWENYE KAMPUNI ZA MITANDAO YA SIMU KWASABABU WATU HAWANUNUI TENA VOCHA KWA WINGI.
 
onyesha mfano wa kulima na wengine wengine tufuate
Karibu naelekea Shambani.
Ej90XzoXsAEhEXM.jpg
 
Habari!

Wasanii wa bongo walikuwa na mashindano yao walikuwa wanaumiza vichwa kufanya kazi zao kwa bidii na nguvu zote.

Sasa hivi karibuni yale mashindano na majigambo walikuwa wanatupiana nani amefanya kazi nzuri huku wakiamini YouTube Views ndio zinapoma ubora wa kazi zao.

Mambo yamekuwa si mambo takribani week ya pili sasa inaenda kukamilika YouTube pamekuwa kimya kilichoambatana na giza zito.

Giza hili halijulikani litaisha lini maana kwa mitandao mingine pia hali inaendelea kuwa tete.

Wale wale kundi kubwa walisahau kuwa tunaishi nyumba moja kwahiyo kama mwenye nyumba anavurugu basi vurugu tutazipata wote.

Pia kama mwenye nyumba ni mwema basi wema tungepata wote.

Haya tuendelee kutazama ila yale mashindano ya nani mwenye YouTube Views sasa kimya kabisa.
Tuko kwenye right direction n maneno ya kiongoz mkuu wa pakstan
 
Back
Top Bottom