Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ningependa hii hali tufike mpaka mwakani mwezi wa tano5
Tulia Kwanza tupo kwenye uchumi wa kati
Watakufa njaa kivipi wakati watazamaji wanatumia vpn.Watakufa Njaa Mkuu!
Wewe nae ni popoma tu kumbe😂, hii pic uliwahi kuitumia kwenye moja ya majibizano Kati yangu na wewe huku ukidai kwamba wewe ni utingo,Sasa hivi tena imekuwa kwamba unaelekea shambani sio🤔?Karibu naelekea Shambani.View attachment 1620870
Dereva alkuwa ndo mpiga pichaMbona gari haina dereva
Anatumika na mabepari huyu..Naona kijana umeanza kutumika kisiasa.
Na hapo ndipo mapato ya kodi kutoka makampuni hayo
Wameanzisha njia mbadala
Kama mapato yatapungua, biashara zitakufa na hata hizo leseni watu watashindwa kuomba.Wafanyabiashara wa vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki watakiwa kuomba leseni TCRA Wafanyabiashara wa vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki watakiwa kuomba leseni TCRA
Dereva ndio mpiga picha 😁😁😁😁😁Mbona gari haina dereva