Pre GE2025 Wasanii wa Bongo movie waliokuwa CHADEMA wahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.

Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?

====

Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.

Soma Pia:
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
Your browser is not able to display this video.
 
Tumbo kwanza, kama unabisha muulize Mchungaji Msigwa.
 
Tunaomba namba zao za kadi kama walikuwa chadema
 
Maji na mafuta yatajitenga tu ni swala la mda tu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…