Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wapuuzi haoooo, wanataka kutumia jina la CHADEMA ya LISSU vibaya .
Mbona hatukuwaona kwenye Uchaguzi??? WAENDE hukoooo
Mbona hatukuwaona kwenye Uchaguzi??? WAENDE hukoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mazuri,Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Wasanii wote nchi hii wako CCM hakuna msanii ambaye alikuwa Chadema hapo wanatafuta kiki tu kuitumia ChademaWakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Lissu Hana pesa?Huu ugali unatafutwa kwa taabu sana na fedhea nyingi mda mwingne
Kwamba naye alishwahi kuwa chadema?! 😄Mbona kma JB anataka kucheka
Sijawahi hata kuwasikia....tuache kujipa umuhimu usio wa LAZIMAWakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Waongo kabisa hao wapuuzi wako CCM siku zote na kwenye shughuli za CCM hawakosekani, waweke ushahidi kuwa kama walikuwa Chadema. CCM mbona wanapenda siasa za hadaa namna hii hadi aibu.Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
CCM ni Chama Cha MajuhaMapambano ya Haki na Utawala Bora yanahitaji watu wenye akili, dhamira ya dhati, msimamo usiyoyumba na kutoendekeza njaa.
Hao ni wasanii kama jina lao lilivyo. Hakuna kipya.
HahahhaahCCM ni Chama Cha Majuha
Kumbe stamina ni mwigizaji mzuri tuWakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Yuko na NeyROMA kabaki peke yake ngoja tuone
Tunatakiwa kupata rais atakayenyonga matapeli ya kisiasa ili tuwe na nchi yenye watu wenye kutumia ubongo kuleta tija latika nchiAibu yao, aibu yetu? Aibu yao mwenyewe .
Voice by Juma nature.