Pre GE2025 Wasanii wa Bongo movie waliokuwa CHADEMA wahamia CCM

Pre GE2025 Wasanii wa Bongo movie waliokuwa CHADEMA wahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.

Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?

====

Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.

Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Kweli mazuri,
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.

Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?

====

Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.

Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Wasanii wote nchi hii wako CCM hakuna msanii ambaye alikuwa Chadema hapo wanatafuta kiki tu kuitumia Chadema
 
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.

Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?

====

Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.

Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Sijawahi hata kuwasikia....tuache kujipa umuhimu usio wa LAZIMA
 
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.

Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?

====

Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.

Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Waongo kabisa hao wapuuzi wako CCM siku zote na kwenye shughuli za CCM hawakosekani, waweke ushahidi kuwa kama walikuwa Chadema. CCM mbona wanapenda siasa za hadaa namna hii hadi aibu.
 
CCM ni Chama Cha Majuha
Hahahhaah
20241215_092307.jpg
 
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.

Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?

====

Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.

Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Kumbe stamina ni mwigizaji mzuri tu
 
Maigizo hayo Ili kuwaaminisha raia na sisi watanzania akili zetu za kuambiwa tutaamin
 
So bure, Mama Samia ana uvuvio kutoka mbinguni, kila mtu anamkubali
 
Back
Top Bottom