BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Njaa mbaya sana kwanza hao wote kwa ujumla wao hawawezi kumkalisha ROMA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona jamaa hajui chochote huyoWalikiwa chadema lini bwana. Hawa wana kamradi kao kaupigaji sasa wangepataje attention zaidi ya kufanya hivi ili wasikike na jambo lao.
Wala uhitaji kuwa na elimu kubwa ung'amue hilo kwaki liko wazi. Wamekabidhiwa bahasha, risala kisha kuletewa Waandishi wahabari.Wameandikiwa hio
Kumbe JB alikuwa Chadema? Stamina sawa. ila dah hivi inakuwaje unaamua kuwa Chadema? Kwa kijana anayejielewa na anataka kukua sidhani kama atakuwa Chadema chama cha wahuni wanywa Faru John 😂 😂 😂 😂 afu unajifungia fursa zote za maisha.Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Sama: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wewe una fursa zipi za maisha, kutokana na kutokuwepo kwako Chadema?Kumbe JB alikuwa Chadema? Stamina sawa. ila dah hivi inakuwaje unaamua kuwa Chadema? Kwa kijana anayejielewa na anataka kukua sidhani kama atakuwa Chadema chama cha wahuni wanywa Faru John 😂 😂 😂 😂 afu unajifungia fursa zote za maisha.
Wanafanya sanaa tu. Kiufupi wapo kazini kuigiza.Kwahiyo wamerudisha kadi za chama?
Kwahy walikuwa wanauza sembe wakiwa chadema ila wameona wahamie ccm ili mambo yawe mazuri zaidi?Hawa ni wauza sembe salama yao ni kuwa CCM
Huyo Stamina hajawahi kuwa ChademaUna ushahidi hao walikuwa chadema?
Hakuna impact yoyote kamwe , mpaka wamekua Bungeni ,ilikua kwa baraka za maccm sasa hoja yao ni ipi? Hawa aalishakua walanguzi wa chamaWakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Sama: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Unamaanisha yule Stamina rapa aliyeporwa mke na mcheza boli na akatoa album nzima analia?Huyo Stamina hajawahi kuwa Chadema
Hahahah mkuu kulikuwa na ulazima wa kugusia suala la kuachwa na mke?Unamaanisha yule Stamina rapa aliyeporwa mke na mcheza boli na akatoa album nzima analia?
Kadi zao za uanachama umeziona?Kwahy walikuwa wanauza sembe wakiwa chadema ila wameona wahamie ccm ili mambo yawe mazuri zaidi?
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Sama: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Zingatia "bongo movie"😂😂😁😂Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Sama: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025