Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkutano mkuu wa Chadema watu walikuwa serious na uchaguzi hakuna burudani, wakati mkutano mkuu wa ccm wasanii wamevuta mpunga wamelipiwa Sgr na hotel wamelipiwa burudani kama zate.Huu ugali unatafutwa kwa taabu sana na fedhea nyingi mda mwingne
Wakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
View attachment 3242749
Sama: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na bado Heche na Lissu hawajaanza kazi!? Aisee !Wala uhitaji kuwa na elimu kubwa ung'amue hilo kwaki liko wazi. Wamekabidhiwa bahasha, risala kisha kuletewa Waandishi wahabari.
Ni wazi hawa wagawa rushwa wamechanganyikiwa. Wamekuwa wakifanya mambo ya aibu kwa wale wachache wenyekujitambua nadani ya CCM. Wameachana na Wajenga hoja wameamua kuwakusanya Wasanii.
Hebu fikiria zile shughuli za UVCCM waeamua kumkabidhi Makamu M/K Mzee Wasira. Kama siyo kuchanganyikiwa ni nn???
Kumbe hawajaanza?!!!😳😳😳😳Na bado Heche na Lissu hawajaanza kazi!? Aisee !
Congo of mobutu in making tunatengeza kizazi Cha hovyo sana siku hata wanajeshi wetu watakosa uzalendo na nidhamu kama KongoWakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Soma Pia:
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
- Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?
- Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
We endelea kuota....ngoja kampeni zianze bibi yenu avuliwe......Kumbe hawajaanza?!!!😳😳😳😳
Basi inaonekana haitoanza tena kazi yenyewe. Ameeshindwa kabla hajaanza.
Hata sijawahi kuwafuatilia hao watu sembuse kuona kadi zaoKadi zao za uanachama umeziona?
Hawana msaada wowote kwa jamiiWakuu naona sasa kila mkate utalainika kwa wakati wake ni suala la kupata chai tu. Wasanii waliokuwa wakii Support Chadema sasa wamekwenda kujiunga na Chama cha mapinduzi.
Kwanza lini wamewahi kuwa Chadema?
====
Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu, Shamsa Ford, Stamina pamoja na wengine wengi wameamua kuja na Asante Samia kutokana na mambo makubwa waliyoyafanya katika serikali kwa muda mfupi.
Soma Pia:
Wasanii hao wakiongozwa na Jimmy Mafufu amesema wahama chadema kutoka na mambo mazuri ambayo ameyafanya Rais Samia.
- Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?
- Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Peleka kitandani ndoto zako hizo.We endelea kuota....ngoja kampeni zianze bibi yenu avuliwe......
Sasa ukitaka wawndelee kubaki chadema kisa tobo, oops, sorry, tundu lissu kuwa mwenyekiti l?!!!!Kwamba sababu za kuhama:-
Hoja namba 1 ni kukamilika kwa bwawa la umeme.
Hoja namba 2 ni kukamilika kwa treni ya mwendokasi!
Aisee kazi ipo kama hao ndio vioo vya jamii wasiojua miradi hiyo imejengwa kwa chanzo kipi cha mapato wao ni kusifia tu mama mwanzo mpaka mwisho wa press ni dalili kuwa rupia za mama zimepita na kundi kubwa lingine la mazuzu ambao watu huwaona ni kioo cha jamii.
Mliopo huko hao waandishi wa habari wengi wamelipwa kiasi gani?
Hivi umesoma hata ulichokiandika?Sasa ukitaka wawndelee kubaki chadema kisa tobo, oops, sorry, tundu lissu kuwa mwenyekiti l?!!!!