Wasanii wa Bongo wamtelekeza Idris, hakuna aliyeenda kumwangalia wala kumpost

Huyu kijana apambane na hali take ni mpuuzi sana
 
Mbwana samata alimpost.

Sent using motorola
 
Waswahili pia walusema MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA ya wapi unaongelea? Au ya Arusha? Marekani mtu anaweza aka tweet 'f $%uck you trump" na akamtag trump mwenyewe asifanywe kitu. Usitake kupotosha umma.
Ni kwel uyu mtoa comment jau kweli kat Juz Spika wa bunge anarushiana maneno waz waz na Trump alimwambia Trump ni mzee sana na hizo C.Quine anazotumia zitamuua..Akaja Trump akamwambia Atamnyoosha mbibi Gani Ata Hajielewi.
Achilia mbali Kuchana ile Hotuba yake
 
USA ya wapi unaongelea? Au ya Arusha? Marekani mtu anaweza aka tweet 'f $%uck you trump" na akamtag trump mwenyewe asifanywe kitu. Usitake kupotosha umma.
USA ya ushirombo labda
juzi tu hapa trump kadissiwa na dole la kati tena na demu tu
Asiifananishe USA na upuuzi upuuzi
Huyo kijana hajitambui anatafuta umaarufu wa mtandaoni kwa kumdhihaki Mkuu wa Nchi !

Huyu ingekuwa USA angefungwa jela miaka mingi sana
 
Watanzania kwa ujumla wenu ni waoga na wanafiki wa level ya hali ya juu
 
Ni kweli lkn utamaduni wa kipuuzi hivi usipokemewa tunaenda pabaya, kuna siku mtu mzima utakishikwa makalio au kipigwa kidole mbele za watoto wa shule. Urais ni taasisi utashughulikiwa na wengine huenda hata rais hajui.
Watu kama Mbowe wanakosoa kwa hekima, akina Mnyika na Lema sio kuwa hawajui matusi lkn sio njia za kufikisha ujumbe
 
Unaona sawa Rais kutukanwa hivyo ? Tanzania sio Nchi ya washenzi km huko
Sio tu kutukanwa hata dhihaka si kwa Rais tu hata kwa mtu yoyote si nzuri
sema vema mambo mengne si ya kutilia maanabi ni kuachana nayo tu
ukishakuwa kiongozi unatakiwa uwe mvumilivu 7bu unakutana na mambo mengi ya kuudhi kukatisha tamaa nk
sasa kudeal na mtu kama idrisa kwa nguvu nyingi inaonesha ni namna gani wanaomshauri Rais hawapo makini
si km trump hajachukia lah ! ila washauri wake wanajua vema namna ya kumshsuri ndo mana kachukulia poa tu maisha yanaenda na si mara ya kwanza au ya piri kutukwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…