Wasanii wa bongofleva wasio na mionekano ya kisanii kabisa

Wasanii wa bongofleva wasio na mionekano ya kisanii kabisa

Muonekano wa kisanii ni upi mkuu... Kuvaa kama msanii ndo kuvaaje?
 
Timbulo na Sunday Linex Mjeda. Hawa jamaa wawili vipaji wanavyo sema wanasura za kienyeji sana.
 
Uliye anzisha hii thread unaakili ya kitoto sitoshangaa kusikia ni under 18.maana ni utoto tu ulio andika
 
umezuguuka point yako hapo ni kutaka kusema izzo siku hizi hajui kuchana basi.....
 
Habari wanajamvi..hapa bongo kuna wasanii ambao ukiwaangalia na kuwafikiria,unaweza ukajiuliza "hivi huyu asingekuwa msanii angekuwa anafanya kazi gani"??.sasa mimi binafsi ninao wasanii kadhaa nitaorodhesha hapa ambao hawana kabisa muonekano wa kisanii
STAMINA huyu hata haendani na usanii kwanza ni kifupi na ni kitukunyema
DITO huyu ana sura fulani ya kilugaluga na havai kama msanii
DUDU BAYA na JUMA NATURE hawa wana sura mbaya na wamekomaa kama wanaishi vijijini
NIKKI WA PILI huyu haendani na usanii,na hata akivaa vipi huwa hapendezi,inapendeza angekuwa ni mwalimu wa sekondari
BONTA huyu jamaa bora aendelee na kazi yake ya udaktari.haendani na usanii kabisa
ongezea na wewe
NB:Bongo nzima hakuna msanii yeyote yule ambaye ana muonekano wa kisanii kama IZZO BIZNEZZ ,,huyu jamaa ukimuangalia tu kwa jinsi anavovaa,anavotembea,anavoongea,alivyo body yake,kifupi ana image ya kisanii kwelikweli kwa kila kitu..ila kasoro yake hajui kuchana vizuri siku hizi
You don't know what music industry means. Na kama ungejua hilo ungejua kwanini wanamuziki wana mionekano tofauti.! Binafsi nadiriki kusema kwamba you're blanketed from what is really about music and its consequences to the society.
Uwe tayari kujifunza mkuu
 
Members wa jamii forums wasio na mwonekano wa kijamii forums, JUVENILE DAVIS huyu jamaa hafananii na jamii forums ni mlugaluga hana hoja za msingi mada zake ni pumba tupu hapa jukwaani, bora uendelee kuvuna ufuta kwenu huendani na jamiiforums
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Habari wanajamvi..hapa bongo kuna wasanii ambao ukiwaangalia na kuwafikiria,unaweza ukajiuliza "hivi huyu asingekuwa msanii angekuwa anafanya kazi gani"??.sasa mimi binafsi ninao wasanii kadhaa nitaorodhesha hapa ambao hawana kabisa muonekano wa kisanii
STAMINA huyu hata haendani na usanii kwanza ni kifupi na ni kitukunyema
DITO huyu ana sura fulani ya kilugaluga na havai kama msanii
DUDU BAYA na JUMA NATURE hawa wana sura mbaya na wamekomaa kama wanaishi vijijini
NIKKI WA PILI huyu haendani na usanii,na hata akivaa vipi huwa hapendezi,inapendeza angekuwa ni mwalimu wa sekondari
BONTA huyu jamaa bora aendelee na kazi yake ya udaktari.haendani na usanii kabisa
ongezea na wewe
NB:Bongo nzima hakuna msanii yeyote yule ambaye ana muonekano wa kisanii kama IZZO BIZNEZZ ,,huyu jamaa ukimuangalia tu kwa jinsi anavovaa,anavotembea,anavoongea,alivyo body yake,kifupi ana image ya kisanii kwelikweli kwa kila kitu..ila kasoro yake hajui kuchana vizuri siku hizi
umaeandika kichoko xn izo atakuwa anakaz hapo
 
Daudi acha akili ndogo mkuu na ww leo hii umekuwa namna hiyo?? Nimemtaja Izzo B,,je ana rasta aua ananyoa kiduku yule?

unataka msanii awe vipi ili useme huo ndio mueneokano wa kisanii??

Mfano: Kwa maoni yako Kanye West ana muonekano wa kisanii?? kama ndiyo/hapana - kwanini??
 
Members wa jamii forums wasio na mwonekano wa kijamii forums, JUVENILE DAVIS huyu jamaa hafananii na jamii forums ni mlugaluga hana hoja za msingi mada zake ni pumba tupu hapa jukwaani, bora uendelee kuvuna ufuta kwenu huendani na jamiiforums
Hahahahahaha Dah
 
Back
Top Bottom