Wasanii wa hiphop hawana tofauti na wasanii wa taarabu?

Mtoto wa kiume akitumia neno 'kuchambana' natamani nimzabe kibao
 
Hii mada inakaukweli mfano NASH MC naye sikuhizi WA taarabu wanajidai wanaharakati kumbe hakuna lolote usiegemee upande mmoja sikuhizi wengi waimba taarabu tu kama mashog
 
Yaani jinsi alivokuwa akihubiri kwa mafumbo maneno style ya ujumbe ndio hapo wanahip hop walicopy , yeye alihubiri light mtu leo akamcopy ile mistari na kuchana utaelewa tu yeye aliongea hawa wakaibadili style na kutunga yao na kurap

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…