Mzee there is nothing I hate in Bongo'z game kama MaDJ's.Yaani achilia mbali hawa wa Redio hizi kama Clouds na kadhalika.Kuna ndugu yangu kafanya Gospel Album kapeleka kwenye Gospel Radio station wanamwambia bila kutoa kidog kidogo nyimbo zake hazitapigwa! What a crap!!
Hii ya watu wa Gospel nao kudai rushwa ili wapige nyimbo wanazodai ni za Mungu...!
Jamani....Nyimbo ikipigwa kwa rushwa bado ni ya Mungu?
Kivipi ujumbe wa Mungu upelekwe kwa rushwa?
Jamani!
Haya...Na kina Kusaga nao.
Wapeni ma dj mshiko wa kutosha na usiwafanye kama wao ni makenika ama deiwaka!
Sasa kwanini hakuna fees kama ni hivyo kuliko kubania miziki ya watu?
Sasa si ndio maana jamii inakuwa CORRUPT kwasababu si message inayopewa kipaumbele!?
Tusisahau kuwa ni muhimu sana kuhakikisha kuwa tunajenga society ya watu civilized maana BONGO NI VERY SHAGALA BHAGALA!
Yani hakuna tena UTU!
Sijui kwanini sisi wabongo hatukujifunza kwa wakenya ambao waliukumbatia UBEPARI TOKA MWANZO!
Tungejifunza kutoka kwao kwani licha ya uchumi wao kudaiwa kuwa uko juu lakini gap ya masikini na matajiri ni kubwa sana tu na bongo sasa hatukuzowea hilo na wananchi wanakiona cha mtema kuni!
Wakenya walishazoea na pesa kule ni kila kitu na rushwa wakati wa Baba Moi Ile JOGOO YA KENYA...RUSHWA ilikuwa ni kama chai ya asubuhi!
Na hivyo basi tuhakikishe tunajifunza kutokana na makosa na kama wimbo unakuja na ma dj wanaona hawawezi kuupiga kwasababu msanii hajatoa pesa..Basi ni muhimu waweke kabisa viwango hili ijulikane na hao wasanii wajuwe ni namna gani ya kuvifikia viwango hivyo ikiwemo pia na gharama za kuupromte nk.
Na kama msanii ni masikini na hajiwezi na huku akiwa na kipaji na kazi yake ni nzuri...Basi msisite kuleta habari na kuwatafutia watu wanaoweza kujitolea ili kuwafanikisha provided wana kipaji na message.
Na pia kwa utaratibu ninaoufahamu...Muziki mara nyingi hupata more air time kutokana na REQUEST ZA WASIKILIZAJI NA SI VINGINEVYO!
Lakini Bongo ni tofauti kwani ni more money...More air time!
Na kwahiyo hata muziki ukifa sioni ajabu.