Nilikuwa napitia vipande vya show ya Chris Brown aliyofanya Mombasa, yaani kwa jinsi alivyoperform sio yule Chris Brown nnayemjua mimi, ukiangalia show anazozifanyaga Marekani na Ulaya sidhani kama kuna msanii duniani wa kumfananisha naye, but ile show ya juzi unaweza sema hii Chinese version ya CB. Au Bilioni 2 ni ndogo? Pia niliwahi kuhudhuria show za kina Rickross, TI za Fiesta, ni mwendo wa playback, tofauti na wanavyofanya kwao
hakutaka kukausha koo lake na maiki mbovu mbovu
President nani[emoji26]
He did it African way. jukwaa lenyewe la kimaskini. umeme hovyo.. sauti hovyo.. mashabiki hovyo na uchawi juu...
DSM mbona ya zamani!!!!
Ndo ipi iyo mpya nn[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ww nchi gani
hamjui mziki ndo maana
halafu kaimba nyimbo 2 tu
Ha ha hahakutaka kukausha koo lake na maiki mbovu mbovu
Duh huyo JB mbona balaa tupu, clouds wajichange bas wakalete hata tukapige picha tuMkuu huo ndio ukweli angali list ya waimbaji wanavyo charge per show.
Usher = $150,000 mpaka 200,000
Chris Brown = $250,000 mpaka 400,000
50 cent = $250,000 mpaka 350,000
Drake = $300,000 mpaka 500,000
J Cole = $150,000+
Justin Bieber = $1,000,000
Kanye West = $400,000 mpaka 600,000
Lil Wayne = $350,000 mpaka 500,000
Wiz Khalifa = $150,000 mpaka 250,000
Rick Ross = 100,000
Sasa piga hesabu kwa hela ya madafu kweli wanaweza kuwalipa hio hela kwa show moja. Bow wow ndie katika rapper anaelipwa hela ndogo kabisa basi show moja 20,000.