yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Nilikuwa napitia vipande vya show ya Chris Brown aliyofanya Mombasa, yaani kwa jinsi alivyoperform sio yule Chris Brown nnayemjua mimi, ukiangalia show anazozifanyaga Marekani na Ulaya sidhani kama kuna msanii duniani wa kumfananisha naye, but ile show ya juzi unaweza sema hii Chinese version ya CB. Au Bilioni 2 ni ndogo? Pia niliwahi kuhudhuria show za kina Rickross, TI za Fiesta, ni mwendo wa playback, tofauti na wanavyofanya kwao
East Africa miziki yenu ya kukata viuno na kuimba mipasho
East Africa is the dandiest part of the continent exclude Kenya