Wasanii wa Marekani wanadharau show za Afrika?

Wasanii wa Marekani wanadharau show za Afrika?

Nilikuwa napitia vipande vya show ya Chris Brown aliyofanya Mombasa, yaani kwa jinsi alivyoperform sio yule Chris Brown nnayemjua mimi, ukiangalia show anazozifanyaga Marekani na Ulaya sidhani kama kuna msanii duniani wa kumfananisha naye, but ile show ya juzi unaweza sema hii Chinese version ya CB. Au Bilioni 2 ni ndogo? Pia niliwahi kuhudhuria show za kina Rickross, TI za Fiesta, ni mwendo wa playback, tofauti na wanavyofanya kwao

East Africa miziki yenu ya kukata viuno na kuimba mipasho


East Africa is the dandiest part of the continent exclude Kenya
 
hakutaka kukausha koo lake na maiki mbovu mbovu


Hakutaka kukata viuno kama yule ndomo
President nani[emoji26]

He did it African way. jukwaa lenyewe la kimaskini. umeme hovyo.. sauti hovyo.. mashabiki hovyo na uchawi juu...

DSM mbona ya zamani!!!!

Ndo ipi iyo mpya nn[emoji3] [emoji3] [emoji3]


Ww nchi gani

hamjui mziki ndo maana

halafu kaimba nyimbo 2 tu
 
Huku Africa kufunga sound kwa stage wengi hawawezi!
So msanii anaona asijisumbue plus stage mbovu unakuta kama ile ya wasafi festival sumbawanga mpaka jamaa akalamba chini!
 
Mkuu huo ndio ukweli angali list ya waimbaji wanavyo charge per show.
Usher = $150,000 mpaka 200,000
Chris Brown = $250,000 mpaka 400,000
50 cent = $250,000 mpaka 350,000
Drake = $300,000 mpaka 500,000
J Cole = $150,000+
Justin Bieber = $1,000,000
Kanye West = $400,000 mpaka 600,000
Lil Wayne = $350,000 mpaka 500,000
Wiz Khalifa = $150,000 mpaka 250,000
Rick Ross = 100,000

Sasa piga hesabu kwa hela ya madafu kweli wanaweza kuwalipa hio hela kwa show moja. Bow wow ndie katika rapper anaelipwa hela ndogo kabisa basi show moja 20,000.
Duh huyo JB mbona balaa tupu, clouds wajichange bas wakalete hata tukapige picha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom