Wamekazana kuandamana nyuma ya keyboard huku ID zao zikiwa withheld. Wanataka msanii ambae anajulikana apaze sauti kwa niaba yao. Msanii ni mwananchi wa kawaida kazi yake ni mziki,bongo movie Kama ambavyo kuna wakulima na wafanyabiashara.Yani Hawa jamaa, ukifikiria sana utagundua kuwa hawana tofauti na wale mbwa mwanaobweka huku mkia wameukunjia ndani ya miguu (mbwa koko)
We huna akili hata ya kujiongeza... Kubwa jinga kweli wewe... Mwili tembo, akili kisoda....
Hayo maandamano huko Naijeria unajua ni nani kayaanzisha? Davido? Wizkid? Yemi Alade? Au ni msanii yupi?
We upo hapa bongo kutwa kuwalalamikia wasanii mitandaoni waingie road, waingie kufanya nini? Waanzishe maandamano kupinga nin? Hawapati stahiki zao? Wamezuiwa kufanya matamasha? Au kuna nini kinachoendelea kuwahusu wasanii?
Vipi kwani? Mbona we hatukuoni barabarani ukiandamana ili tuje kukuunga mkono?
Vumbapu kabisa hili gozi jeusi la kibongo, kila kitu wanataka tuige.. Je tungefikia hata nusu ya yanayotokea Korea Kaskazini si tungekuwa maiti sahiv?
Limtu linakazania tuandamane eti kwa vile flani kauawa, sijui huyu katekwa, mara yule kapigwa risasi.. Sasa vitu vyao personal vinatuhusu nini sisi? Tunajua lolote kwanini walifanyiwa hayo?
Mara sijui hakuna uhuru wa kuongea! Hahahaaah! Aiseee, hv nani kawafumba midomo mpaka muwe mabubu? Kwahiyo leo ni mwaka wa ngapi hujaongea?
Waacheni wasanii wafanye wanachotaka
NDIYOKwahiyo nyie ndio mnafikiria kama hao Wasanii Wetu?
Umeandika ujinga mwingi mpaka kukujibu naona itachukua muda wangu mwingi kukuelewesha!We huna akili hata ya kujiongeza... Kubwa jinga kweli wewe... Mwili tembo, akili kisoda....
Hayo maandamano huko Naijeria unajua ni nani kayaanzisha? Davido? Wizkid? Yemi Alade? Au ni msanii yupi?
We upo hapa bongo kutwa kuwalalamikia wasanii mitandaoni waingie road, waingie kufanya nini? Waanzishe maandamano kupinga nin? Hawapati stahiki zao? Wamezuiwa kufanya matamasha? Au kuna nini kinachoendelea kuwahusu wasanii?
Vipi kwani? Mbona we hatukuoni barabarani ukiandamana ili tuje kukuunga mkono?
Vumbapu kabisa hili gozi jeusi la kibongo, kila kitu wanataka tuige.. Je tungefikia hata nusu ya yanayotokea Korea Kaskazini si tungekuwa maiti sahiv?
Limtu linakazania tuandamane eti kwa vile flani kauawa, sijui huyu katekwa, mara yule kapigwa risasi.. Sasa vitu vyao personal vinatuhusu nini sisi? Tunajua lolote kwanini walifanyiwa hayo?
Mara sijui hakuna uhuru wa kuongea! Hahahaaah! Aiseee, hv nani kawafumba midomo mpaka muwe mabubu? Kwahiyo leo ni mwaka wa ngapi hujaongea?
Waacheni wasanii wafanye wanachotaka
Tatizo ni elimu na uelewa wako kuwa mdogo mpaka umeshindwa kumuelewa mleta mada!Kijana tafuta kazi za kufanya,watu hawawezi kuishi kama utakavyo wewe.Wewe na wasanii hamko sawa kwakila kitu, wao ni takataka kama unavyodhani, Sasa kwanini usianzishe hayo maandamano wewe mwenye akili?
Kama utakaa kusubiri takataka ziingie barabarani Kisha wewe ndo ufate , Basi wewe ni mknd.
Ulichokiandika wewe ni tofauti kabisa na mashudu aliyoandika mleta maada.Tatizo ni elimu na uelewa wako kuwa mdogo mpaka umeshindwa kumuelewa mleta mada!
Wasanii wa Tz wamekuwa nyuma sana kuwasemea watanzania wanapoonewa!Ila wanajifanya kupanua midomo yao kwa yanayoendelea huko Nigeria!Huo ni upumbav wa hali ya juu!
Hata MBET naona walifanya promotion.Jacob hakutumia akili...
Hajui kuwa amefanya promotion?
Wewe una akili timamu kweli?Watu wameuwawa kibiti na Mtwara wewe unasema ni ugumu wao wa maisha?Hizi akili za wapi?Ulichokiandika wewe ni tofauti kabisa na mashudu aliyoandika mleta maada.
Ukichunguza vizuri utagundua kuwa mawazo yake yamejikita katika siasa uchwara.
Pamoja na hayo uliyoandika wewe, hayo hayatoshi kumpangia mtu Cha kufanya, si lazima asimame na wewe kwenye upande uliouchagua, kimsingi kila mtu ana matakwa yake.Ugumu wako wa maisha usihusishe wengine.
Bado umeshindwa kuelewa nilichomaanisha.Ni sawa wameuwawa,mimi najua Ila Sina uwezo wa kupambana na hao magaidi ndomaana nasubiri kuona ni nini vyombo husika vitafanya juu ya tukio hilo,wewe mwenye akili umejiandaa kufanya nini juu ya hilo tofauti na kubweka tu nyuma ya keyboard hapa jF?Wewe una akili timamu kweli?Watu wameuwawa kibiti na Mtwara wewe unasema ni ugumu wao wa maisha?Hizi akili za wapi?
Shame!
Sina cha zaidi cha kujibizana na wewe,its a waste of my precious time!
Hiyo comment yako Ni chungu lakini tamu.Unakuta jitu linalaumu kwenda kwenye matamasha ya CCM, linawasimanga eti Wana njaa,wakati lenyewe Kila siku kazi zake ni kushinda humu jF linasubiri uzi uanzishwe likacomment "maisha magumu".
Wasipokuelewa hapa wajitafakariKama mnalalamika tu mitandaoni bila kuchukua hatua yoyote kama hao wanaijeria mnaowasifia hapa basi hamna tofauti na hizo takataka unazozizungumzia
Dilek umemaliza kila kitu hapa.Wamekazana kuandamana nyuma ya keyboard huku ID zao zikiwa withheld. Wanataka msanii ambae anajulikana apaze sauti kwa niaba yao. Msanii ni mwananchi wa kawaida kazi yake ni mziki,bongo movie Kama ambavyo kuna wakulima na wafanyabiashara.
Wanalalamika as if msanii alivyoanza harakati zake za usanii aliwaahidi kutetea haki zao
Huwa hawaelewi hawa ndugu zetuWasipokuelewa hapa wajitafakari
Dilek umemaliza kila kitu hapaWamekazana kuandamana nyuma ya keyboard huku ID zao zikiwa withheld. Wanataka msanii ambae anajulikana apaze sauti kwa niaba yao. Msanii ni mwananchi wa kawaida kazi yake ni mziki,bongo movie Kama ambavyo kuna wakulima na wafanyabiashara.
Wanalalamika as if msanii alivyoanza harakati zake za usanii aliwaahidi kutetea haki zao
Leo ndio nimeelewa kwanini Hawa watu wanaitwa manyumbuHuwa hawaelewi hawa ndugu zetu
We akili yako bado haijakomaa na ndo maana nashindwa kukushangaa,, We kwa akili yako yanayotokea Naijeria ni sawa na ya Kibiti na Mtwara? Hata kufananisha hujui?Umeandika ujinga mwingi mpaka kukujibu naona itachukua muda wangu mwingi kukuelewesha!
Kwa ufupi tu,hawa wasanii wetu wamejikuta kimbelembele kwa yanayotokea Nigeria!Lakini wakati huo huo yalipotokea nchini walikuwa kimya sana!Ukiangalia ya mtwara na kibiti utaona unafiki wa wasanii hawa!Naona hujamwelewa mleta mada na umeishia kubwatuka tu,idiot!