Hujatumia ubongo vema kunijibu!Yaani kama nilichoandika kimeingilia sikio la kulia na kutokea kushoto kisha ukaanza kuandika!
Narudia,watu wa nafasi yangu wameandika sana kukosoa au kutetea jambo fulani,ila hatusikiki kwasababu ya wigo mdogo wa wanaotufatilia!Hawa wasanii kwa matatizo ya nchini kwao wako kimya,ya nje ndiyo wanakuwa wepesi kuyadakia!What a shame!
Usinijibu kama mtu uliyejikatia tamaa na nchi yako,kama ndivyo basi we pita kushoto tu!
Watu wangekuwa wanawaza kama wewe enzi hizo,nchi hii isingekuwa huru!