Wasanii wa Nigeria Wana akili sana kuliko hawa wala ubwabwa wa kampeni huku kwetu

Wasanii wa Nigeria Wana akili sana kuliko hawa wala ubwabwa wa kampeni huku kwetu

Naija bado wana haki ya peaceful demonstarations ambayo tz huko nyuma ilikuwepo ikayeyuka. Wao naija walianza na peaceful demos celebs waka join.
Kumbe walianza wananchi halafu ndo celebs wakajoin? Sasa ni lini hapa wananchi wameanza maandamano ya kupigania jambo?
Maandamano yaliyowahi fanyika uwa yameratibiwa na wanasiasa wenye malengo ya kisiasa tofauti na haya ya hawa wapopo ndiyo maana hata mwanzilishi hajulikani.
Hebu wananchi waandamane tuone kama wasanii hawajaunga mkono, lakini kama hilo halijafanyika kwanini tuwalaumu? Au mnataka waanze wao halafu wananchi ndiyo waje kuunga mkono?
 
Tigershark kakupa mfano hapo. Wananchi wa Naija walianza kwa kukemea SARS na wasanii wakawaunga mkono.
Je, wananchi wa tz walipokemea Akwilina, nk wasanii waliunga mkono?
Wasanii wa bongo hata habari walikuwa hawana!Walikuwepo kuwepo tu kama mazombie!
 
Ubongo upi ndugu? Wewe mbona unaandika pumba nimekaa kimya. Kujifanya points zako zina mashiko kuliko za wengine, mlioandika inatosha sio lazima wasanii wafanye. Na hayo maandishi yenu yamesolve tatizo? Huna akili vile vile..kakojoe ulale
Aisee,akili za hapa na pale ndio kama hizi!Sio lazima kila movement izae matunda hapo hapo,nyingine ni sauti tu kusikika ili pengine jambo fulani lisijirudie!Ikifika watu wakalazimisha matokeo hapo hapo,ndio hivyo kama ya Nigeria yanatokea!Na hiyo huwa ni uamuzi wa mwisho baada ya kila namna ya kufikisha ujumbe kukwama!
Matatizo kwenye jamii ni yetu sote hivyo inatupasa kushirikiana katika kuyatatua!Ukimuachia mwenzako akemee peke yake,ipo siku nawe yatakukuta na watu watakuachia upambane mwenyewe!Na hapo ndio mnageuka taifa la watu wa hovyo ambapo watawala wanaweza kuwafanya lolote na wakaona sawa tu maana wanaongoza maiti!
Wasanii kwa nafasi zao wanaweza kufanya sauti ifike mbali kwa urahisi!Umeona Genevieve ameandika barua ya wazi kwa Bushiri akimsihi kuchukua hatua,ni tofauti kama barua hiyo ingedikwa na mlalahoi asiyejulikana!
Kama ambavyo wasanii wamekuwa wakitumika mfano Masanja anavyoonesha Miradi ya awamu ya 5 ili hadhira kubwa zaidi ione,basi watumie fursa hiyo hiyo kunapokuwa na ukandamizwaji wa haki!Na huko ndio kunaitwa kujitambua!!!!
 
Kumbe walianza wananchi halafu ndo celebs wakajoin? Sasa ni lini hapa wananchi wameanza maandamano ya kupigania jambo?
Maandamano yaliyowahi fanyika uwa yameratibiwa na wanasiasa wenye malengo ya kisiasa tofauti na haya ya hawa wapopo ndiyo maana hata mwanzilishi hajulikani.
Hebu wananchi waandamane tuone kama wasanii hawajaunga mkono, lakini kama hilo halijafanyika kwanini tuwalaumu? Au mnataka waanze wao halafu wananchi ndiyo waje kuunga mkono?
We unachukulia kama maandamano ni kitendo flani cha kishujaa wakati si hivyo. Ni kitu ambacho hata mtoto anatakiwa awe anawezeshwa kufanya bila hofu na alindwe. Kwa hiyo laumu waliosababisha kutokuwepo mazingira wezeshi badala ya kulaumu wanaosita kuonesha hisia zao kwa maandamano.
 

Attachments

  • 20201023_070524.jpg
    20201023_070524.jpg
    67 KB · Views: 2
We unachukulia kama maandamano ni kitendo flani cha kishujaa wakati si hivyo. Ni kitu ambacho hata mtoto anatakiwa awe anawezeshwa kufanya bila hofu na alindwe. Kwa hiyo laumu waliosababisha kutokuwepo mazingira wezeshi badala ya kulaumu wanaosita kuonesha hisia zao kwa maandamano.
Kati yangu mimi na wewe nani analaumu? Kwanini umlaumu msanii? wewe nyma ya keyboard umechukua hatua gani kwanza? Mabadiliko uanza na wewe kabla. Anza wewe kwa kuchukua hatua siyo kujificha nyuma ya keyboard na ID fake halafu ujifanye mpigania haki huku ukilaumu wasanii.
 
Kati yangu mimi na wewe nani analaumu? Kwanini umlaumu msanii? wewe nyma ya keyboard umechukua hatua gani kwanza? Mabadiliko uanza na wewe kabla. Anza wewe kwa kuchukua hatua siyo kujificha nyuma ya keyboard na ID fake halafu ujifanye mpigania haki huku ukilaumu wasanii.
Inaonekana mimi nawe kila mmoja ana msimamo wake na hatuwezi kubadilishana. Kwa hiyo we baki na lako nami nibaki na langu tusiishie kutoleana vi povu bure!!
 
Inaonekana mimi nawe kila mmoja ana msimamo wake na hatuwezi kubadilishana. Kwa hiyo we baki na lako nami nibaki na langu tusiishie kutoleana vi povu bure!!
Kweli kabisa maana kamwe siwezi kubaliana na watu wenye mtazamo ya kwamba haki zao zitapatikana kwa kungoja wengine wawapiganie.
 
Na wewe akili yako iruhusu ifanye kazi na ifikiri nje ya box!Kwanini tunasema wasanii?Hii ni kwasababu wao ni rahisi kuwafikia watu wengi sana!Mimi hapa huwezi jua kama nimeshawahi kuandika kwenye kurasa zangu za mitandao,hiyo ni kwasababu wigo wangu ni mdogo na maoni yangu yanaweza kuonwa na watu wachache na hao walengwa wasifikiwe!Wasanii ni vioo vya jamii!Wanawajibika kurudisha fadhila kwa jamii maana ndiyo hadhira yao!Waseme pale wanapoona kuna jakbo haliko sawa!
Mpaka wewe unaona wasanii wakitetea wananchi wanapopokwa haki zao ni kuhatarisha maisha yao,basi nchi hii kuna tatizo kubwa sana!
Kama una mpango wa kunijibu,tumia ubongo wako vyema!
 
Wao wanatweet kuambia watu waandamane wakati wenzao wanauliwa mtaani..
Acha uongo, paroranking, Davido, Burna boy wameingia barabarani, unafikiri akili zao kama akina kiba au diamond
 
Acha uongo, paroranking, Davido, Burna boy wameingia barabarani, unafikiri akili zao kama akina kiba au diamond
Asee mi nilimuona Davido tu tena alikuwa na bodyguards wake in disguise. Wengine wapo Ulaya kazi kutweet tu.
 
We huna akili hata ya kujiongeza... Kubwa jinga kweli wewe... Mwili tembo, akili kisoda....

Hayo maandamano huko Naijeria unajua ni nani kayaanzisha? Davido? Wizkid? Yemi Alade? Au ni msanii yupi?

We upo hapa bongo kutwa kuwalalamikia wasanii mitandaoni waingie road, waingie kufanya nini? Waanzishe maandamano kupinga nin? Hawapati stahiki zao? Wamezuiwa kufanya matamasha? Au kuna nini kinachoendelea kuwahusu wasanii?

Vipi kwani? Mbona we hatukuoni barabarani ukiandamana ili tuje kukuunga mkono?

Vumbapu kabisa hili gozi jeusi la kibongo, kila kitu wanataka tuige.. Je tungefikia hata nusu ya yanayotokea Korea Kaskazini si tungekuwa maiti sahiv?

Limtu linakazania tuandamane eti kwa vile flani kauawa, sijui huyu katekwa, mara yule kapigwa risasi.. Sasa vitu vyao personal vinatuhusu nini sisi? Tunajua lolote kwanini walifanyiwa hayo?

Mara sijui hakuna uhuru wa kuongea! Hahahaaah! Aiseee, hv nani kawafumba midomo mpaka muwe mabubu? Kwahiyo leo ni mwaka wa ngapi hujaongea?

Waacheni wasanii wafanye wanachotaka
Umepaniki wewe ni Alikiba au Ray kigosi?!
 
We akili yako bado haijakomaa na ndo maana nashindwa kukushangaa,, We kwa akili yako yanayotokea Naijeria ni sawa na ya Kibiti na Mtwara? Hata kufananisha hujui?
Kumbe mafala bado tunao wa kutosha, nilikuwa sijui...

Afu kwanini iwe wasanii na na isiwe wewe? Huko Naija unakosema ni msanii gani alianza kukemea kabla wananchi hawajaingia barabarani wenyewe?
Wasanii wa nje ya Naija ni nani alianza kukemea yanayotokea kabla ya polisi kuwaua wananchi?

Magaidi wa Bokoharam wakati wanawateka wale mabinti wa shule ni nani uliyemsikia kakemea au kaandamana?
Jitahidi kunafananisha mambo japo uelewa wk ni mdogo
Zile hashtag na kushinikiza serikali zimeshasahaulika mara hii?
 
Back
Top Bottom