Mwandiko huu na tone hii kama ya Le Mutuz vile!!We huna akili hata ya kujiongeza... Kubwa jinga kweli wewe... Mwili tembo, akili kisoda....
Hayo maandamano huko Naijeria unajua ni nani kayaanzisha? Davido? Wizkid? Yemi Alade? Au ni msanii yupi?
We upo hapa bongo kutwa kuwalalamikia wasanii mitandaoni waingie road, waingie kufanya nini? Waanzishe maandamano kupinga nin? Hawapati stahiki zao? Wamezuiwa kufanya matamasha? Au kuna nini kinachoendelea kuwahusu wasanii?
Vipi kwani? Mbona we hatukuoni barabarani ukiandamana ili tuje kukuunga mkono?
Vumbapu kabisa hili gozi jeusi la kibongo, kila kitu wanataka tuige.. Je tungefikia hata nusu ya yanayotokea Korea Kaskazini si tungekuwa maiti sahiv?
Limtu linakazania tuandamane eti kwa vile flani kauawa, sijui huyu katekwa, mara yule kapigwa risasi.. Sasa vitu vyao personal vinatuhusu nini sisi? Tunajua lolote kwanini walifanyiwa hayo?
Mara sijui hakuna uhuru wa kuongea! Hahahaaah! Aiseee, hv nani kawafumba midomo mpaka muwe mabubu? Kwahiyo leo ni mwaka wa ngapi hujaongea?
Waacheni wasanii wafanye wanachotaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee road unaingia lini ili wasanii waje kuunga mkono au zilikuwa hasira za nyuma ya keyboard?
we huoni waandamaji wanavyopigwa shaba, sasa sijui hivyo vipengele vyako kwenye katiba vinawarudishiaga maisha au inakuwa imetoka.Hivi kuna kipengele chochote kwenye katiba kinachoruhusu kumuua yule anaendamana? Iwe kwa kibali au kwa kutokuwa na kibali? Kama kipo hicho kipengele basi atakayekupinga ni mpumbavu tu , ila kama hakipo basi kuna mawili.
1.Wewe ni muoga kwa kiwango kwamba inakubidi uongee uongo hata ikiwezekana kwenda kinyume na katiba ya nchi ili usikilizwe .
2.Labda unalipwa vizuri kusambaza peopaganda yaani unafaidika kwa maumivu ya watanzania wengi kwa lugha nyengine utaitwa traitor .
sasa kwa tukio la kibiti ulitaka wananchii waandamane ili iweje ikiwa jeshi la polisi tayari lilishaanza kupambana na hao majambazi. Tukio la kibiti na Nigeria hayafanani kabisa!Umeandika ujinga mwingi mpaka kukujibu naona itachukua muda wangu mwingi kukuelewesha!
Kwa ufupi tu,hawa wasanii wetu wamejikuta kimbelembele kwa yanayotokea Nigeria!Lakini wakati huo huo yalipotokea nchini walikuwa kimya sana!Ukiangalia ya mtwara na kibiti utaona unafiki wa wasanii hawa!Naona hujamwelewa mleta mada na umeishia kubwatuka tu,idiot!
waliandamana au walikemea mtandaoni?Tigershark kakupa mfano hapo. Wananchi wa Naija walianza kwa kukemea SARS na wasanii wakawaunga mkono.
Je, wananchi wa tz walipokemea Akwilina, nk wasanii waliunga mkono?
jamaa aliandika kwa hisia sana, mchawi wa maisha yake ni yeye mwenyewe wala siyo ccm.Mzee road unaingia lini ili wasanii waje kuunga mkono au zilikuwa hasira za nyuma ya keyboard?
Wataandama vipi wakati sheria zilizopo haziruhusu maandamano wewe? Kule nigeria na kwingine sheria zao zinaruhusu maambamano ya amani. Kwa hiyo kushindwa kuandamana wa kulaumiwa ni yule anaekandamiza hii haki ya kuandamana. Wanasiana wamekuwa wakikemea ukandamizaji wa hii haki. Wasanii wapo wapi kwenye kukemea hili?waliandamana au walikemea mtandaoni?
Mkuu,We huna akili hata ya kujiongeza... Kubwa jinga kweli wewe... Mwili tembo, akili kisoda....
Hayo maandamano huko Naijeria unajua ni nani kayaanzisha? Davido? Wizkid? Yemi Alade? Au ni msanii yupi?
We upo hapa bongo kutwa kuwalalamikia wasanii mitandaoni waingie road, waingie kufanya nini? Waanzishe maandamano kupinga nin? Hawapati stahiki zao? Wamezuiwa kufanya matamasha? Au kuna nini kinachoendelea kuwahusu wasanii?
Vipi kwani? Mbona we hatukuoni barabarani ukiandamana ili tuje kukuunga mkono?
Vumbapu kabisa hili gozi jeusi la kibongo, kila kitu wanataka tuige.. Je tungefikia hata nusu ya yanayotokea Korea Kaskazini si tungekuwa maiti sahiv?
Limtu linakazania tuandamane eti kwa vile flani kauawa, sijui huyu katekwa, mara yule kapigwa risasi.. Sasa vitu vyao personal vinatuhusu nini sisi? Tunajua lolote kwanini walifanyiwa hayo?
Mara sijui hakuna uhuru wa kuongea! Hahahaaah! Aiseee, hv nani kawafumba midomo mpaka muwe mabubu? Kwahiyo leo ni mwaka wa ngapi hujaongea?
Waacheni wasanii wafanye wanachotaka
Kwanza wasanii wanawingi gani wa kuanzisha maandamano?Kumbe walianza wananchi halafu ndo celebs wakajoin? Sasa ni lini hapa wananchi wameanza maandamano ya kupigania jambo?
Maandamano yaliyowahi fanyika uwa yameratibiwa na wanasiasa wenye malengo ya kisiasa tofauti na haya ya hawa wapopo ndiyo maana hata mwanzilishi hajulikani.
Hebu wananchi waandamane tuone kama wasanii hawajaunga mkono, lakini kama hilo halijafanyika kwanini tuwalaumu? Au mnataka waanze wao halafu wananchi ndiyo waje kuunga mkono?