Wasanii wa nini kwenye ziara za Rais za ndani?

u
ulitaka aende nao ziara za nje? manzee vumilia tu coz we have such a broken system at hand
 
Hamna mtu ana muda wa kumsikiliza huyo mama hivyo anataka avizie muda wakati wa show ndio aongee.
 
Angalia huo utitiri wa magari ya kifahari!!

Akitoka kuzuga huko, utasikia tu yuko Qatar kwa ziara ya siku 4! Halafu ataunganisha Oman kumsalimia Mjomba kwa siku 4 tena!

Kazi kweli kweli.
yes, kama ilivyo awamu ya nne.
'swahili Gang'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…