Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

So Mtu akisema Noooo
Then akasema
Hapana
Uwaga hakosei na anaelewa anachokifanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wao wanaona ni sahihi,, Client wao wa kizungu nao waambulie machache
 
Hakika,

Halafu jinsi umbile lake lilivyo akivaa traki suti kama mwamvuli wa tigo unatembea.

Anapaswa avae magauni au skirt ndefu ndy anapendeza sn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]looh...hapo ngoja nikae kimya

Ila kweli magauni ndio yanampendeza sana

Halafu hawa wasanii wa kike wangejua nguo za
stara ndo zinawapendeza(ga) wasingekuwa wanahangaika kutuonyesha mapaja yao[emoji57]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]looh...hapo ngoja nikae kimya

Ila kweli magauni ndio yanampendeza sana

Halafu hawa wasanii wa kike wangejua nguo za
stara ndo zinawapendeza(ga) wasingekuwa wanahangaika kutuonyesha mapaja yao[emoji57]
Hakika mkuu.
Yule mdada akivaa gauni ni hatari sn.

Avae Trak suti sasa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…