cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaboa sana huyO bonge nyanya
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaboa sana huyO bonge nyanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani anakera huyoooo,kila tamthiliya yeye ni kujifanya kuongea kiinglishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ilesauti yake[emoji23]
Irene Paul, sauti na macho khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wellu Sengo na Irene Paul.
Ila kwa English, Wema sepetu jaman anaua, hasa ile "KARMA" aaah alijua kutendea haki lugha ya malkia.English ya irene paul ni tamu mimi napenda kumsikiliza ila huyo wellu ni kama anakariri hafurahishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mwingine anayesemwa ni wellu sengo tu
Hulali mjukuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ila ana kijungu balaaa[emoji38][emoji38]Wellu Sengo
[emoji1][emoji1]ila mbona zamani wakati siyo tipwa-tipwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule kila tamthilia anaboa, hata ktk Pazia pia. Lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Naomba niulize, kwani wakati wa kuandika script uwa hawaandikiwi maneno ya kuzungumza?Ila kwa English, Wema sepetu jaman anaua, hasa ile "KARMA" aaah alijua kutendea haki lugha ya malkia.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Achana na ujinga wa bongo movie. Kwamba huna pa kwenda ama huna la kufanya?Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
😀😀😀 hapana chezeya malkia mweusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] govinda wangu sasa mcharuko huyoooo. Uwiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
😂😂 lile hips lake silielewagi mana limeanzia kwenye magotiHakika,
Halafu jinsi umbile lake lilivyo akivaa traki suti kama mwamvuli wa tigo unatembea.
Anapaswa avae magauni au skirt ndefu ndy anapendeza sn
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] lile hips lake silielewagi mana limeanzia kwenye magoti
bora avae macharanga huwa yanampendeza
Literature umeelewa best.Boss mimi ngoja nikupe siri ya script, katika dialogue kuna reality ambayo inaruhusu kuchapia, kuna utumiaji wa code mixing and switching(hizi kwa kiswahili tutasaidiana) hivyo kwa maana hiyo , huwa hawakosei wanamaanisha wanachokifanya...[emoji4][emoji4][emoji4]
Angalia KOMBOLELA ukutane na uhalisia wa maisha yetu ya kiswazi achana na hawa wa kujifanya uzungu mwiiiiiiiingi hadi wanaharibu.Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Tulisoma shuleni,matumizi ya "code mixing" na "code-switching" ni kuweka msisitizo.Ni Bora aseme hapana,,
Sasa Noooo.
Hapana.
Maana yake nn?
Na kila mwigizaji atajifanya anachanganya na English aonekane msomi.
Kanifanya mpaka sasa siangalii tena anakera aiseeKuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]
Chalii mneneWellu Sengo