Wasanii wa singeli mlitaka kudharau Nazi wakati embe ni tunda la msimu

Wasanii wa singeli mlitaka kudharau Nazi wakati embe ni tunda la msimu

Hata bongo fleva ilianza hivi hivi na watu wakaidharau. Lakini ilipoboreshwa ikakubalika.
Singeli wanahitaji support ya media houses na ushauri wa nini cha kuimba. Singeli ni muziki wa hapa hauna vionjo vya pop au azonto au miziki mingine.
 
Muziki wa singeli umeshika sana wakati huu hasa mikoa ya Pwani, na mikoani kila mtu alitaka kujua ni muziki wa aina gani, si kwamba haukuwepo zamani ila jitihada za Efm zilichangia ushike hatamu japo redio ilikuwa haijafika mikoa mingi na walienda mbali mpaka kuanzisha kipindi maalumu kw aajili ya singeli chini ya Kicheko Mtata.

Kila muwamba ngoma huvutia kwake, mziki ukapokelewa kwa nguvu zote wasanii wa singeli wakaanza ona matunda kwa kualikwa kwenye show za Efm, na wengine kufanya dili za matangazo, nakumbuka Man Fongo alishafanya tangazo la Kampeni ya Nitigo pesa kutoka Tigo, Kicheko akasajiliwa Clouds na kuna baadhi ya wasanii wakagawanyika beef zikaanza wengine wakaona upande wa pili ndio wa maana sana

Nakumbuka Kicheko alipofika Clouds kwenye kipindi cha leo tena ilianzishwa segment akawa anapewa muda wake na zinachezwa singeli, sijui hiyo program ilipotelea wapi na Kicheko mwenyewe hasikiki kama zamani, baadae akahamia Jumamosi jioni kabla ya Kipindi cha Peter Moe. Mkazo wa singeli kwa Clouds tena ukawa umeishia hapo.

Efm bado wanalisongesha kipindi cha singeli alichokiacha Kicheko bado kinaendelea na naona mbadala wa Kicheko usajili wake ulikuwa mzuri Semio na Fido wamerudisha hadhi ya kipindi pia wasanii wa singeli bado wanaendelea kufanya show zinazoandaliwa na Efm, mara ya mwisho kuona msanii wa singeli akifanya show iliyoandaliwa na Clouds ni Fiesta 2017, lakini ilikuwa tofauti kwa Fiesta 2016 wasanii wa singeli walikuwa wengi

Nnnachosema msizalau Nazi
Man fongo mbona simsikii tena show za mziki mnenee
 
Kwanza kabisa ulichokisema kina ukweli kwa asilimia kubwa sana .
Kwa kiwango kikubwa kwa sasa mziki wa singeri umepotea njia kwa kiasi kikubwa sana hii inatokana na gemu kuingiwa na wapiga dili wengi .
kabisa dili nyingi
 
Huo mziki Mimi hapana haujawahi kunishawishi kusikiliza na kudowload kwenye smartphone yangu,Never Never Never.
Ujasikia mabidi wewe unaraza ukisikia sehemu furani kama ubongo wako unajua nini burudani rakini kama pale utatoa utoi ni moja ya kipande kitamu.
 
Back
Top Bottom