Wasanii wa Tanzania jifunzeni kutoka kwa msanii Genevieve wa Nigeria

Hawa wa kwetu kazi kuonyesha makalio tu kazi sifuri
 
a
sio kutundikwa mimba tu huyu alikuwa mmoja wa makahaba mpaka michezo ya Amber Rutty
 

Utakuwa CCM wewe, napoteza muda wangu.
 
Hiyo yote uliyoandika inajimuishwa kwenye UKOSEFU WA ELIMU!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe itakuwa ni Mmbongo Movie,sio kwa povu hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha zako km wanafanya kazi nzuri kuliko za bongo movies tusiwasifie!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
there u are....hata hizo nyumba hawana....wanaishi kwenye vichochoro tu vijumba vibovu mikocheni chama pale ndani ndani kwa mitaa ya kina babuu wa kitaa au msasani bonde la mpunga
 
Mbona ata Wema sepedele kauza sana copies za ela ote dingilae kwenye movie yake na Van vicker ila hapendagi Show Off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…