Wasanii wa Tanzania wagombania kupiga picha na msanii Wizkid!

Wasanii wa Tanzania wagombania kupiga picha na msanii Wizkid!

[emoji445]Caro ya body is....
Aaaahhhh....[emoji445]
Haka kajamaa kanajua bwana.

Caro your body necessary...ah necessary
Caro carry leave story....aahh leave story
Caro dey make my head turn
Caro dey make me wan lose am
Caro dey make my head dey bang
Caro dey make my head dey scatter

Baby carooo.......!!

Asee the boy is so talented
 
Caro your body necessary...ah necessary
Caro carry leave story....aahh leave story
Caro dey make my head turn
Caro dey make me wan lose am
Caro dey make my head dey bang
Caro dey make my head dey scatter

Baby carooo.......!!

Asee the boy is so talented
[emoji445]Am looking for Caro...Yeahhh
Sweet Caro[emoji445]
Caro ni noumahhh napenda zile movement za barabarani.
Bonge la kideo,bonge la wimbo [emoji122]

Jamaa kashirikishwa lakini kamfunika mwenye wimbo.
 
[emoji445]Am looking for Caro...Yeahhh
Sweet Caro[emoji445]
Caro ni noumahhh napenda zile movement za barabarani.
Bonge la kideo,bonge la wimbo [emoji122]

Jamaa kashirikishwa lakini kamfunika mwenye wimbo.
Still looking for caro....ehhe
Show me caro....ehhee
where are you caro...ehee
Sis carooo....!

Wizzy alimfunika sana L.A.X japo nae kuna mistari mitamu kwenye verse alizoimba.

Caro fine plenty plenty...
Caro sweet no get enemy...
Sexy girl you know I bring it down
Starboy you know we shut it down...ooh yes
Anything we touch na gold now
Don't dull I no need it now
I want to spend all my paper.


Caro ni demu ambae inasemekana ana kila sifa na ni kiu ya kila mwanaume na hawajui yuko wapi watampataje na wao wako tayari kumpata kwa gharama yoyote ile.
 
Still looking for caro....ehhe
Show me caro....ehhee
where are you caro...ehee
Sis carooo....!

Wizzy alimfunika sana L.A.X japo nae kuna mistari mitamu kwenye verse alizoimba.

Caro fine plenty plenty...
Caro sweet no get enemy...
Sexy girl you know I bring it down
Starboy you know we shut it down...ooh yes
Anything we touch na gold now
Don't dull I no need it now
I want to spend all my paper.


Caro ni demu ambae inasemekana ana kila sifa na ni kiu ya kila mwanaume na hawajui yuko wapi watampataje na wao wako tayari kumpata kwa gharama yoyote ile.


Na pale Wiz anapolalamika
Caro Body,Caro Body...
Aaaaah Caro Body
Achaaaaa

Hii ikoje mkuu?Ni story za kusadikika au?
 
Na pale Wiz anapolalamika
Caro Body,Caro Body...
Aaaaah Caro Body
Achaaaaa

Hii ikoje mkuu?Ni story za kusadikika au?
Caro your body necessary......aah necessary
Caro you carry leave story.....ahaa leave story
baby carooo... yerrra

Hapa nadhani alimaanisha anahitaji mwili wake kwa hali na mali.

Huo wa pili alimaanisha kuwa huyo demu ni mzuri kiasi kwamba ni talk of the town.

Kuhusu nyimbo sina hakika sana kama ni kisa cha kweli au walitunga tu.

Ninavyofahamu mimi Ojuelegba ndio nyimbo inayobeba kisa cha kweli ambacho ni maisha yake mwenyewe binafsi...., kwanzia mwanzo hadi mwisho anaelezea struggles alizopitia kabla hajatoka kimuziki na kuwahasa wengine wasikate tamaa.

Hata neno lenyewe Ojuelegba lina maana ya community flani uko nigeria anakotoka huyo Wizkid.
"In ojuelegba they know my story"
 
the world star boy WIZKID huyu ndo kabeba mikoba ya P.SQUARE kwasasa kule NIGERIA na AFRICA NZIMA
 
Caro your body necessary......aah necessary
Caro you carry leave story.....ahaa leave story
baby carooo... yerrra

Hapa nadhani alimaanisha anahitaji mwili wake kwa hali na mali.

Huo wa pili alimaanisha kuwa huyo demu ni mzuri kiasi kwamba ni talk of the town.

Kuhusu nyimbo sina hakika sana kama ni kisa cha kweli au walitunga tu.

Ninavyofahamu mimi Ojuelegba ndio nyimbo inayobeba kisa cha kweli ambacho ni maisha yake mwenyewe binafsi...., kwanzia mwanzo hadi mwisho anaelezea struggles alizopitia kabla hajatoka kimuziki na kuwahasa wengine wasikate tamaa.

Hata neno lenyewe Ojuelegba lina maana ya community flani uko nigeria anakotoka huyo Wizkid.
"In ojuelegba they know my story"
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi,tumekuwa na chit chat nzuri sana.
Tukutane ktk threads nyingine...siku njema.
 
Back
Top Bottom