Wasanii wa Tanzania wameshindwa kuhudhuria msiba wa mama yake Sugu kwa sababu za kiitikadi?

Hao ni Kunguru?
 
Sio kweli, yeye hahudhurii misiba ya wasanii wenzake. Ni kama amejitoa kwenye status ya sanaa na kubaki na status ya ubunge. Sasa kama yeye hashiriki misiba ya wasanii wenzie wenyewe watakujaje? Kwani hakuna wasanii waliopo chadema na hawakuhudhuria?
 
Mjibee bee sasa mnalaumu nini sisi kutoonekana kwa Mr 2
Aliyelaumu ni nani? Umemsikia Sugu ametamka kitu? Ndio nimekwambia tumia akili. Aliyelalamika ni aliyepost hapa, nothing to do with Sugu.
 
Ukitaka kila mtu ahudhurie kwenye msiba ukifiwa utapata taabu sana. Hivi nikuulize wasanii wangapi walihudhuria msiba wa mama yake ladyjaydee. Hata hivyo wasanii wengi hupenda kuhudhuria misiba yenye kiki. Mfano mtoto wa Muna et al

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…