snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
Wadau Hailengi Tasnia Fulani, Si Wasanii wa Muziki, sio Bongo movies.
Asilimia kubwa sana hawapendi miaka yao iwe wazi kwa mashabiki wakiwa hai Tunakuja kujua mara Baada Ya kuiaga Dunia
Utasikia ''amefariki akiwa na miaka...'' n.k
Hivi sababu hasa ni nini?
Asilimia kubwa sana hawapendi miaka yao iwe wazi kwa mashabiki wakiwa hai Tunakuja kujua mara Baada Ya kuiaga Dunia
Utasikia ''amefariki akiwa na miaka...'' n.k
Hivi sababu hasa ni nini?