Wasanii wabongo na nyumba za kupanga

Wasanii wabongo na nyumba za kupanga

HIli suala limekuwa likiniumiza sana kichwa kama mdau wa burudan apa bongo,aswa hil suala la wasanii wetu kuendekeza sifa za kijinga huku wakiish nyumba za kupanga.ni juzi tu nimetoka kusikia eti jackline wolper na baby madaha wanagombania nyumba ya kupanga,what a shame?,binafsi sikumshangaa baby kuhus hil ila huy bi shost mwingine ambaye kabatizwa majina lukuki kutokan na kufuru zake za pesa anazozifany kila kukicha,kwel msanii unanunua/kuhongwa gari la mamilion ya shilingi kumbe hata kiwanja hauna?,aibu gani hii,aya umeenda kupanga nyumba mbezi beach ya gharama ya juu,ili tu umrushe roh wema sepetu,kwa maisha unayoish hat ile milion kum na tan uliotoa kwa sajuki kwangu mimi bure kabis kwa maisha unayoish ya kutanga tanga na kugombea nyumba za kupanga,si bora ungegombea kiwanja?,mweeh kwel ustaa bongo kazi,haya ukistaajabu ya wolper utayaona ya ommy dimpoz kuhama mikocheni had sinza huku akimilik gar leny thaman sio chin ya milion arobain,wasanii lazima mjitambue leo hii mpo on top kesho mkibuma mtakimbilia wap??,hii ni aibu sana kwa wasanii wetu,mnajifany filamu moja mnalipw milion kumi huk hata kiwanj hamna mnatak sifa kwa nani?

ommy dimpoz anajenga,,tena nyumba mbili kwa mpigo..so acha zako za kuleta.
 
Hatuna umaarufu lakini tutaendelea kuwapangisha mpaka mtie akili..!
 
kuishi nyuma ya kupanga siyo kwamba ndo hawajajenge nyumba zao,
wapo wasanii ambao wamejenga nyumba nje kidogo ya jiji kitu ambacho
kwao hawakipendi kuishi pembezoni mwa mji; so wanaamua kupanga ili wawe
town na wapate urahisi wa kufanya kukurukakara zao huku town.

ni kweli!

sio wote wanaotanga tanga wamepotea!
 
shule mjomba,shuuuuleee:......amna kingine yan/ushamba kivumishi2!!

kweeeliii!! ... kweeeli mjomba!!

mi huwa nasema always sisi wasanii shule hamna!!

how comes mtu anapata 200m abraptly from nowhere anaishi maishi ya juu..!!

then, from nowhere again anapotea na kushindia 'unga'?

aaaggghh!!!

mimi ndo maana niliweka ndoto ya kuingia kwenye sanaa nikifika ngazi ya chuo kikuu!!

-----------------------------------
nashukuru nimefanikiwa
-----------------------------------
 
wanapenda masifa tu,
ili wauze kwenye magazeti
utasikia tu kwenye ile nyumba kulikuwa hakuna air condition so nimepangisha nyumba nyingine.
 
Nadhani wanaishi kwa style ya Wahindi hapa Nchini.
 
We umejenga? Kwa huu uchambuzi wako kama we ni wa kiume ndio basi tena... fanya yako!!!
 
Back
Top Bottom