Wasanii wabwia UNGA

Wasanii wabwia UNGA

Ukosefu wa Elimu ni tatizo kubwa kwa hawa vijana. Umbumbu wa mji unawachanganya zaidi.
 
buji naona unakaribia kugonga ikulu!blue mjanja wake dogo hamidu ndo zile ngoma za dunk n die!ubaya wa mchezo ule lazma usniff kiaina ili ukate route za haja kubwa!na huyo dogo hamidu mjanja wake Dash! (jina la ukweli mabanoni) ila nae sasa hivi tengeru tee mzigo umekata!!!!......kuachana na stimu madogo wengi wa kino waliingia katika mchezo wa kula ngada kwa fikra za kudanganyana ukistua shughuli yake kitandani aibu!hufanyi makojozi mapema!

Mkuu muuza sura kweli unawapata Dogo Amidu(Banyenda) ndo gari la powder ashaenda sana nje na kubebeshwa unga alivyorudi ndo kafungua duka la pamba studio 26
 
naomba kuuliza japokuwa natoka nje ya maada
nasikia kuwa HALIMA MDEE nae anakula haya madude
 
Hawa wabwia unga wanajilostisha sana blue alianza na bange akaona hazimp steam kaongeza dozi,20% kakutwa na kilo 20 za bange,daaaAaaaaaa Jide Mbona kitambo anastua si wanadanganya kwamba inawaondolea aibu kwa stage na inawapa manguvu ya kupiga show kwa stage

we habar zako za ubabaishaj 20% amedakwa na gm 20 sio kg 20 na izo gm 20 ni stick 2 tu ambazo ye mwenyewe anasema zilikua kwenye dash board na hajui ziliwekwa na nan coz kwenye gar hakua peke yake kulikua na wacheza shoo na wa2 wengine hapo ndan we unatangaza kilo 20 utazan we ndo ulomkamata na unakidhibiti.
 
we habar zako za ubabaishaj 20% amedakwa na gm 20 sio kg 20 na izo gm 20 ni stick 2 tu ambazo ye mwenyewe anasema zilikua kwenye dash board na hajui ziliwekwa na nan coz kwenye gar hakua peke yake kulikua na wacheza shoo na wa2 wengine hapo ndan we unatangaza kilo 20 utazan we ndo ulomkamata na unakidhibiti.

Mkono umeteleza najua kilo 20 duuu,hahaha I meant 20 grams
 
buji naona unakaribia kugonga ikulu!blue mjanja wake dogo hamidu ndo zile ngoma za dunk n die!ubaya wa mchezo ule lazma usniff kiaina ili ukate route za haja kubwa!na huyo dogo hamidu mjanja wake Dash! (jina la ukweli mabanoni) ila nae sasa hivi tengeru tee mzigo umekata!!!!......kuachana na stimu madogo wengi wa kino waliingia katika mchezo wa kula ngada kwa fikra za kudanganyana ukistua shughuli yake kitandani aibu!hufanyi makojozi mapema!

and it is true, ndo maana machangu huwaaktaa mateja
 
tunawasaidiaje badala ya kuwananga humu...hilo ndo lamuhimu aisee
 
Wengine kwa hayo majina hatuwajui, tubandikie picha zao, tuwaombee Mungu awaondoshee kama ni kweli.
 
baada ya langa kusanuka na kuamua kutemana na mambo ya madawa,ma heroin,cocaine na marijuana,leo katika pitapita yangu mitaa ya kinondon hospital nikamegewa pande kua vijana wa bongo fleva wanaongoza kwa kujidunga,eti kwa kisingizio cha kuwapa stim na kuweza kuandika mistari inayo bamba! Na hawa ni baadhi tu.NGWEA,MCHIZ MOX,TID,KABAISA AKA BLUE,DARK MASTER.LORD EYEZ,LADY JAYDEE,NURA,P.FUNKY,DAZBABA,AFANDE SELE,Na wengine kibao,mi nawashaur wamwige langa,ikiwezekana warud shule.jitazame

Unanifanya nianze kuwa na wasiwasi kwani mbunge wangu aka SUGU. na kama yupo live hebu apite mbele ya mada hii atoe koment zake. na pili kama ikibidi afanye juu chini kuanzisha advertse nyingine kwa wasanii wenzie kuacha kutumia ulevi huu badala ya kuendeleza vita na akina Ruge pekee kwa albam ya antivirus
 
Wameacha bangi, now wameamia kwenye cocaine.
 
Wengine kwa hayo majina hatuwajui, tubandikie picha zao, tuwaombee Mungu awaondoshee kama ni kweli.

wewe unasema kama ni kweli,yaani huna habari kuwa 20% juzi tu kakamatwa na kilo kadhaa za bange? yoooooooooooooooote haya ni ya kweli hakuna anayezingiziwa hapa labda Mzee Komba,ila hao wengine mhhhhh
 
Mkuu muuza sura kweli unawapata Dogo Amidu(Banyenda) ndo gari la powder ashaenda sana nje na kubebeshwa unga alivyorudi ndo kafungua duka la pamba studio 26

umenikumbusha kunasiku alikuwa anafanyiwa mahojiano na redio one kuhusu safari zake za nje, akasema alishawahi kufungwa huko majuu ndiyo akawa anaeleza kuhusu hizo namba na maana zake.
 
Back
Top Bottom