Wasanii wachapisha T-shirt za kwenda kumuunga mkono Mama Samia April 30, kweli CCM ni Raha

Wasanii wachapisha T-shirt za kwenda kumuunga mkono Mama Samia April 30, kweli CCM ni Raha

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Nimeona wasanii wamejiongeza kwa kwenda kumuunga mkono mama Samia kupewa uenyekiti wa CCM.

Nimependa ubunifu waliofanya, TShirt ni nzuri na zinaonyesha wapo tayari kumuunga mkono mama Samia.

Kwa hakika mama Samia anapendwa Sana, hivyo kwa pamoja tumtakie mama Samia uenyekiti mwema kuelekea tarehe 30.

Wale wengine wa kile chama pelekeni malalamiko yenu kwa shibuda, mama atayakuta huko.
20210425_122833.jpg
 
Hao ni Wasanii kweli, hawakawii kubadili script wakaanza kusema hakuna rais aliyewasaidia kama Mama Samia, wakati kipindi cha JPM ukisikia maneno yao utadhani sanaa ndio ilianza wakati huo.
Nasubiri kwa hamu mama kuwa mwenyekiti wa Chama.
 
Nimeona wasanii wamejiongeza kwa kwenda kumuunga mkono mama Samia kupewa uenyekiti wa CCM
Nimependa ubunifu waliofanya, TShirt ni nzuri na zinaonyesha wapo tayari kumuunga mkono mama Samia.
Kwa hakika mama Samia anapendwa Sana, hivyo kwa pamoja tumtakie mama Samia uenyekiti mwema kuelekea tarehe 30.
Wale wengine wa kile chama pelekeni malalamiko yenu kwa shibuda, mama atayakuta huko.
View attachment 1763726
Steve mzee wa fursa.
 
Waahaanza kumsogelea mama yetu hawa

Ova
 
Na hilo wazo lazima limetoka kwa huyo jamaa mfupi,
Hata hivyo wamependeza hasa hao wa Njano.
Halafu huyu jamaa mfupi kwa kupenda ujiko kwa wanaume kajiphotoa peke yake ila warembo kawaphotoa wengi, huyu jamaa ana kiherehere cha kujikomba hadi kichefuchefu
 
Back
Top Bottom