guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] atayakuta huko sioNimeona wasanii wamejiongeza kwa kwenda kumuunga mkono mama Samia kupewa uenyekiti wa CCM
Nimependa ubunifu waliofanya, TShirt ni nzuri na zinaonyesha wapo tayari kumuunga mkono mama Samia.
Kwa hakika mama Samia anapendwa Sana, hivyo kwa pamoja tumtakie mama Samia uenyekiti mwema kuelekea tarehe 30.
Wale wengine wa kile chama pelekeni malalamiko yenu kwa shibuda, mama atayakuta huko.
View attachment 1763726
Kila shetan na mbuyu wakeHao ni wasaka fursa na ni watu wa kutumika.
Uligegeda japo mmoja?Hawa mashetani walipokuwa Chato utadhani wapo kwenye FIESTA ngono mwanzo mwisho.
Ule msiba uligeuka FIESTA.
Niikuwa sina hela mkuu[emoji3]Uligegeda japo mmoja?
πππMafuska at work
hawajielewi hawa, matapeliHao ni wasaka fursa na ni watu wa kutumika.
Hawa mashetani walipokuwa Chato utadhani wapo kwenye FIESTA ngono mwanzo mwisho.
Ule msiba uligeuka FIESTA.