'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

Hamisa aige mfano wa zari ...aliingia kwenye industry ya muziki ......akajionea Mambo meusi akaacha na kubaki na kipaji chake Cha kufyatua watoto


teh teh teh!
 
Wafuatao jembe linawahusu

Jay melodi
Dogo janja
Cheed na wasanii wote wa Ali kiba
Nay wa mitego
Jux anaimba uharo kabsa ck hizi
Dudu la yuyu
Young d
Amber Lulu
Enock Bella


Uwezo wao wa kuimba ni mdogo mno tofauti na walivyoanza
 
Naona wengi wenu mnashindwa kutofautisha kuimba na kurap/kuchana
Sasa kama wewe umemuweka Mwana FA kwenye list yako eti aache kuimba hv huyo anaimba au anachana?

Ungemtaja King Crazy GK wa East cost Team hapo sawa, maana yule aliimba kwenye wimbo wake mmoja hivi unaitwa Baraka au Laana kamshirikisha Yuzo ila verse ya mwisho alichana

Sasa vuta picha GK na ule uongeaji wake (sijui ni kigugumizi au nini) kisha aimbe

N.B;
Kama unajijua hupendi nyimbo za kuchana au kurap, mtuachie sisi hao wasanii ndo tunaowajua maana wengi wenu mmeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Diamond kujulikana

Sisi tulioanza enzi zile unaitwa muziki wa kihuni hakukuwa na msanii anayeimba wote walikuwa wanachana/wanarap huku mwasisi wao akiwa Mr.II a.k.a. Sugu
Kama yupo aliyekuwa anaimba naomba uniwekee hapa na moja ya wimbo wake
Asiwe msanii wa injili tu kama Malebo Munishi
Em tafuta ngoma za Mr.II zinazopatikana kwenye albamu yake ya kwanza inayoitwa Ni Mimi ya mwaka 1995, hii imerekodiwa katika studio za redio Tanzania uone jamaa alivyopangilia vina na mashairi yalivyo kwenye mpangilio mzuri
 
Hao ulio wataja, mbona huku Ushirombo hawakuji kufanya show...[emoji53][emoji53]
 
Masanja akalime mpunga tu.. Yani sijui anafanya nn kwa mziki
 
naikubali sana ile ngoma yake imebaki story na ile mkimbie. Kali sana hizo.. hemed yeye anasema anafanya mziki kujifurahisha tuu sio kazi!
Bonge moja la ngoma, ila ukiwa mdau wa singeli utabaki juu juu kuhusu uwezo wa Hemed kimuziki.
 
Hemed anajitahidi lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…