'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

Wafuatao jembe linawahusu

Jay melodi
Dogo janja
Cheed na wasanii wote wa Ali kiba
Nay wa mitego
Jux anaimba uharo kabsa ck hizi
Dudu la yuyu
Young d
Amber Lulu
Enock Bella


Uwezo wao wa kuimba ni mdogo mno tofauti na walivyoanza
 
Dogo janja..
Aslay
Mboso
Mwana fa
Jux
Nedy music
Billnass
Baraka de Prince
Whozu
Masanja
Baba diamond
Hamisa
Na wengine wengi..ningekuwa DJ kwenye radio station nyimbo zao ningekuwa naziweka kwenye ndoo ya uchafu..

Nyimbo zao nyingi ni za kuanzia SAA 12 asubuhi hadi 12 jioni..zinakuwa zimeshaboaaa..nyimbo zao hazina uhai..hazivutiii..ubunifu zerooo...hazifai hata kucheza high club.
Naona wengi wenu mnashindwa kutofautisha kuimba na kurap/kuchana
Sasa kama wewe umemuweka Mwana FA kwenye list yako eti aache kuimba hv huyo anaimba au anachana?

Ungemtaja King Crazy GK wa East cost Team hapo sawa, maana yule aliimba kwenye wimbo wake mmoja hivi unaitwa Baraka au Laana kamshirikisha Yuzo ila verse ya mwisho alichana

Sasa vuta picha GK na ule uongeaji wake (sijui ni kigugumizi au nini) kisha aimbe

N.B;
Kama unajijua hupendi nyimbo za kuchana au kurap, mtuachie sisi hao wasanii ndo tunaowajua maana wengi wenu mmeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Diamond kujulikana

Sisi tulioanza enzi zile unaitwa muziki wa kihuni hakukuwa na msanii anayeimba wote walikuwa wanachana/wanarap huku mwasisi wao akiwa Mr.II a.k.a. Sugu
Kama yupo aliyekuwa anaimba naomba uniwekee hapa na moja ya wimbo wake
Asiwe msanii wa injili tu kama Malebo Munishi
Em tafuta ngoma za Mr.II zinazopatikana kwenye albamu yake ya kwanza inayoitwa Ni Mimi ya mwaka 1995, hii imerekodiwa katika studio za redio Tanzania uone jamaa alivyopangilia vina na mashairi yalivyo kwenye mpangilio mzuri
 
Hao ulio wataja, mbona huku Ushirombo hawakuji kufanya show...[emoji53][emoji53]
 
Masanja akalime mpunga tu.. Yani sijui anafanya nn kwa mziki
 
naikubali sana ile ngoma yake imebaki story na ile mkimbie. Kali sana hizo.. hemed yeye anasema anafanya mziki kujifurahisha tuu sio kazi!
Bonge moja la ngoma, ila ukiwa mdau wa singeli utabaki juu juu kuhusu uwezo wa Hemed kimuziki.
 
Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.

1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.

2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.

3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana

4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.

5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.

6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha

Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu
Hemed anajitahidi lakini
 
Back
Top Bottom