'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

bob junior
spack - mzee wa ombi langu
tunda man
Masanja Mkandamizaji
Nuh mziwanda
Shilole
Lady Jaydee
Mesen selekta

hawa watu hawaimbi ila wanalia, bob junior awe mtayarishaji pekee inatosha, spark awe mtunzi inatosha, tunda mani acha kabisa mziki haukuhusu unapoteza tu hela zako. tunda ni mwigizaji mzuri sema hajajijua tu. We masanja bora ubaki kua pastor. Nuh ajaribu fani ya kuchana ila kuimba hapana. Shilole sauti ni zero anabebwa na mabiti tu, bora aendeleze biashara yake ya pishi watu wameielewa ila sio kuimba. ukweli mchngu ila jide sauti nzuri ya kuimba hana!. we mesen sauti ya kuimba huna, ukijua kupiga biti haimaanishi kuwa ndo ujue na kuimba, watengenezee midundo raia ila sauti ya kuimba hapana.
Lady Jay Dee???
 
BABA-DIAMOND aachane na music, akomae tu kutibiwa miguu yake kisha ale matunda ya mwanae lkn mziki hauwezi kabisa huyu mzee!
 
Inawezekana hata P Funk hajui Muziki?maana kuna interview naye alisema Hemedi hajui kuimba yupo flat
Hemed ni mtunzi mzuri wa nyimbo ila kwenye vocal hayuko vizuri sana...Ila sishangai maana kwenye suala zima la uimbaji mzuri wenye kufuata sheria za muziki sidhani hata kama tunao wasanii watano..

Hapo ndipo utakapokubaliana na P funk wengi wanaimba Flat,Off Key,ila wanabebwa na utunzi mzuri na Producers.
 
Naona wengi wenu mnashindwa kutofautisha kuimba na kurap/kuchana
Sasa kama wewe umemuweka Mwana FA kwenye list yako eti aache kuimba hv huyo anaimba au anachana?

Ungemtaja King Crazy GK wa East cost Team hapo sawa, maana yule aliimba kwenye wimbo wake mmoja hivi unaitwa Baraka au Laana kamshirikisha Yuzo ila verse ya mwisho alichana

Sasa vuta picha GK na ule uongeaji wake (sijui ni kigugumizi au nini) kisha aimbe

N.B;
Kama unajijua hupendi nyimbo za kuchana au kurap, mtuachie sisi hao wasanii ndo tunaowajua maana wengi wenu mmeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Diamond kujulikana

Sisi tulioanza enzi zile unaitwa muziki wa kihuni hakukuwa na msanii anayeimba wote walikuwa wanachana/wanarap huku mwasisi wao akiwa Mr.II a.k.a. Sugu
Kama yupo aliyekuwa anaimba naomba uniwekee hapa na moja ya wimbo wake
Asiwe msanii wa injili tu kama Malebo Munishi
Em tafuta ngoma za Mr.II zinazopatikana kwenye albamu yake ya kwanza inayoitwa Ni Mimi ya mwaka 1995, hii imerekodiwa katika studio za redio Tanzania uone jamaa alivyopangilia vina na mashairi yalivyo kwenye mpangilio mzuri
Mzee..nakuhakikishia tu hata kurap hao hawajuiii..vina vyao havina urari ...mashairu yao wanayatunga kama hawakula before..ndio maana nyimbo zao haziishi..zaidi ya wiki..zinakuwa zimekufaaa..hats huyo sugu ndio kabisaaa yanii..hajui..hajui..hajuiii..ukiniambia prof jay kidogo nitakuelewa...

Tukubali..wasanii wetu hawa wanafanya usanii kwenye sanaa ya muziki..na sio kwamba ni talented..

Ni vile tu wameijukta jamii nayo haijui muziki mzuri ndio maaana wanajikuta jamii inawapokea tuuu.

Ukitaka kujua nalosema ..tazmaa trend ya qasnii wetu kwenye tuzo za kimataifa..no zerooo..hii maana take nii hawana kitu kipya zaidi ya kuomba tyoo...yoo..yoo..whatsapp.sasa hapo ndio ???

Toka nzei za kina Hugo sugu hadi sasa kina diamond hakuna..huwa wanajitahidi kwa mwaka Mara moja ..tu na tena kwa bahati bahati tuuu
 
Mzee..nakuhakikishia tu hata kurap hao hawajuiii..vina vyao havina urari ...mashairu yao wanayatunga kama hawakula before..ndio maana nyimbo zao haziishi..zaidi ya wiki..zinakuwa zimekufaaa..hats huyo sugu ndio kabisaaa yanii..hajui..hajui..hajuiii..ukiniambia prof jay kidogo nitakuelewa...

Tukubali..wasanii wetu hawa wanafanya usanii kwenye sanaa ya muziki..na sio kwamba ni talented..

Ni vile tu wameijukta jamii nayo haijui muziki mzuri ndio maaana wanajikuta jamii inawapokea tuuu.

Ukitaka kujua nalosema ..tazmaa trend ya qasnii wetu kwenye tuzo za kimataifa..no zerooo..hii maana take nii hawana kitu kipya zaidi ya kuomba tyoo...yoo..yoo..whatsapp.sasa hapo ndio ???

Toka nzei za kina Hugo sugu hadi sasa kina diamond hakuna..huwa wanajitahidi kwa mwaka Mara moja ..tu na tena kwa bahati bahati tuuu
Ungetulia uandike vizuri mzee
 
Dogo janja..
Aslay
Mboso
Mwana fa
Jux
Nedy music
Billnass
Baraka de Prince
Whozu
Masanja
Baba diamond
Hamisa
Na wengine wengi..ningekuwa DJ kwenye radio station nyimbo zao ningekuwa naziweka kwenye ndoo ya uchafu..

Nyimbo zao nyingi ni za kuanzia SAA 12 asubuhi hadi 12 jioni..zinakuwa zimeshaboaaa..nyimbo zao hazina uhai..hazivutiii..ubunifu zerooo...hazifai hata kucheza high club.
Mb0so, nedy, jux, Aslay, Mwanafa. Chuki binafsi
 
Hamisa na mkweo muziki si kipaji mwachieni mondi ninyi hapana mnatuumiza masikio maana ni kelele tu...
 
Back
Top Bottom