'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

Kwenye hiyo list yako mtoe hemed PhD ongeza hawa
Karapina
Wakazi
Ney wa mitego
Dudu baya
Ommy dimpoz
Chief maker
Best naso
Snura
Shilole
Naylee
Temba
KR
Diva
Lulu diva
Amber rutty
Mr nice
Babake diamond
Country boy
Babuu wa kitaa
Matonya
PNC
Dogo janja
Bob junior
Bounta anajiita maarifa
Aisee list bado ila nimechoka tu
Listi ako mtoe Nay wa mitego Huyo jamaa anajua pia country boi anaweza sana mi naelewa sana this guys
 
Sijui kama unamjua country Boy "Ghadafi"
hamjui hiyooo... kiufupi wengi wanajudge lakin hawaujui muziki mtu kama wakazi unasemaje aache game, mtu kama lady jaydee the legend Ahahahahha discon wapo masai tayari
 
Hemed is nice ila hamisa Hapana kubwaaa
Masanja ndo kabsaa anatumia ufamous hakuna kitu
 
Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.

1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.

2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.

3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana

4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.

5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.

6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha

Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu


Asilimia 99.9 ya wasanii wa Bongo Fleva si wanamuziki kwani wote ni fake tu.
 
Masanja mkandamizaji ni matumizi mabaya ya injili.... gospel isitumike kwenye utakatishaji
Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.

1. Adam Mchomvu... Bro rudi kwenye kazi yako ya utangazaji mziki hujui.

2. Hamisa Mobeto... Rudi kudanga yaani mziki hujui hata kidogo.

3. Ben Kinyaiya... Endelea kutangaza lkn Mziki hapana

4. Rommy Johns (sina hakika na jina kama nimelipatia) lakini namaanisha yule sijui meneja au ni producer wa WASAFI... kaka achana kabisa na muziki haujui kuimba.

5. Hemed PhD .. Bro kitu pekee unachoweza ni kuigiza lkn muziki Hapana.

6. Massanja mkandamizaji. .. Unaharibu na kuuabisha muziki wa injili na kufanya uonekane cheap. Acha hyo kazi endelea kuchekesha

Naomba kuwasilisha na wewe kama kuna mtu unayemnua amevamia fani mtaje hapa ili ujumbe uwafikie wanavamia fani za watu
 
Apa mtoe country boy
Kwenye hiyo list yako mtoe hemed PhD ongeza hawa
Karapina
Wakazi
Ney wa mitego
Dudu baya
Ommy dimpoz
Chief maker
Best naso
Snura
Shilole
Naylee
Temba
KR
Diva
Lulu diva
Amber rutty
Mr nice
Babake diamond
Country boy
Babuu wa kitaa
Matonya
PNC
Dogo janja
Bob junior
Bounta anajiita maarifa
Aisee list bado ila nimechoka tu
 
Back
Top Bottom