Mbona hujatumia na jina lako halisi?Hahaaa acheni mawazo ya kipuuz na fikra za kukaririshwa kua jf ni mtandao wa watu siri na waovu waovu eti wafiche majina yao na picha zao member wangap wana majina yao na picha zao huku kama umeingia humu ukiwa na tabia zao mbaya mbaya za kifiraun hivyo hutak watu wakujue ni wewe mkuu mtu mwema anakua huru mtu muovu atajificha ficha member weng tu wakiongoza na pascal mayala wanatumia id halisi bila hofu waovu ndio wanajificha ficha
Katika majitu majinga yaliyowai kujiunga na jf wewe ni mmoja waoRaha ya samaki ni kuliwa jicho, sasa huyu samakiurembo lazima ni delicious tu…. mdudu keshaingia kwenye embe.!
We talking about face but ntatuma soonMbona hujatumia na jina lako halisi?
Hakuna mtu mbaya hata wewe ni mzur sababu uzur wa kitu unategemea na maoni ya anaekitazamaDogo mzuri sana, hebu tupia picha nyingi tuone.![emoji276]
Dah jiji gumu sana hili!!Habar wakuu nimekua katika hali yakujiuliza na kujaribu kutafakar kwanin wasanii wa bongo flava au maigizo wakiniona sehem katika mazingira ya face to face hustuka na kusimamana kujaribu kubadilisha njia
Hali hii imenipa maswal sanaa lakin nimepata sababu huenda nikawa nafanana na sudy brown kijana anaewafuatilia maisha ya wasanii wakiwa mitaan maana wasanii niliowakuta mtaan na kutaka kukimbia walikua na mshtuko mkubwa kuonana na wao maeneo hayo au wakuu
Kwa sababu hujui nini maana ya jamii forums na hujui kwa nini uko humu!! Miaka mitano baadae utakuja kuona ni jinsi gani unavyokuwa uki-upload ujinga!Kwa sababu ipi unasema hivyo
Yaani hata the way una reply, hakuna kazi at all! Yaani Replies unazoandika ni kama vile comments! Hujui hata ni kwa nini mkuu kakwambia upost picha nyingi zaidi!!Hakuna mtu mbaya hata wewe ni mzur sababu uzur wa kitu unategemea na maoni ya anaekitazama
Nonsens kabisa nipo humu tangu 2010 nilikua natumia jin ala appoh member wakongwe wananijua vyema sijan hoja ya maana zaid ya negativity tu kichwan mwakoKwa sababu hujui nini maana ya jamii forums na hujui kwa nini uko humu!! Miaka mitano baadae utakuja kuona ni jinsi gani unavyokuwa uki-upload ujinga!
Rejea kwenye profile yako ya facebook, siku ukikua ndo urudi humu!!
Kama wewe ni mwerevu ukiona mtu kaandika ujinga pita kushoto ukicoment na kuleta debate bas na wewe ni mjinga mmojawapo werevu wamepiga kimya kwenye ujinga huuYaani hata the way una reply, hakuna kazi at all! Yaani Replies unazoandika ni kama vile comments! Hujui hata ni kwa nini mkuu kakwambia upost picha nyingi zaidi!!
Samahani kama nitakuwa nafanya uwe bored! Na sign out! [emoji34][emoji34][emoji125][emoji125]
Kuna Panyaroad kafanana kama wewe.Habar wakuu nimekua katika hali yakujiuliza na kujaribu kutafakar kwanin wasanii wa bongo flava au maigizo wakiniona sehem katika mazingira ya face to face hustuka na kusimamana kujaribu kubadilisha njia
Hali hii imenipa maswal sanaa lakin nimepata sababu huenda nikawa nafanana na sudy brown kijana anaewafuatilia maisha ya wasanii wakiwa mitaan maana wasanii niliowakuta mtaan na kutaka kukimbia walikua na mshtuko mkubwa kuonana na wao maeneo hayo au wakuu
No ni hisia zangu labda maana wasanii niliokutana nao ni mazingira ya mtaan sanaa na hawategemei kukutana na mtu kama soudy kwa maana wasanii niliokutana nao hali zao kisanaa hazikua nzur so nilikutana nao katika mazingira ya mtaan sanaa wanatembea kwa miguu au wanakula na nkDah Nimecheka Sana! Sasa wamejua Vipi Wewe Ni Suddy Brown
Sawa haina shda ukwel utajulikana mahakamanKuna Panyaroad kafanana kama wewe.
Sasa subiri ukamatwe
Umehama sabasaba?Habar wakuu nimekua katika hali yakujiuliza na kujaribu kutafakar kwanin wasanii wa bongo flava au maigizo wakiniona sehem katika mazingira ya face to face hustuka na kusimamana kujaribu kubadilisha njia
Hali hii imenipa maswal sanaa lakin nimepata sababu huenda nikawa nafanana na sudy brown kijana anaewafuatilia maisha ya wasanii wakiwa mitaan maana wasanii niliowakuta mtaan na kutaka kukimbia walikua na mshtuko mkubwa kuonana na wao maeneo hayo au wakuu
Nilivyosoma tu ID "SAMAKI UREMBO" nikasema tayari tushapata kaoge wa JF.Habar wakuu nimekua katika hali yakujiuliza na kujaribu kutafakar kwanin wasanii wa bongo flava au maigizo wakiniona sehem katika mazingira ya face to face hustuka na kusimamana kujaribu kubadilisha njia
Hali hii imenipa maswal sanaa lakin nimepata sababu huenda nikawa nafanana na sudy brown kijana anaewafuatilia maisha ya wasanii wakiwa mitaan maana wasanii niliowakuta mtaan na kutaka kukimbia walikua na mshtuko mkubwa kuonana na wao maeneo hayo au wakuu