Wasanii wakiniona wanataka kukimbia

Wasanii wakiniona wanataka kukimbia

Ipo siku ukichangia IPP( International Pumba Point) za kutatanisha hatuhangaiki Sana picha tunayo
 
Dogo tuma na picha ya nyuma tuone Kuna biashara nataka tufanye Kama huko nyuma kutakuwa navyofikiria

Kuna wapemba hapa wanataka kujiridhisha

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Habar wakuu nimekua katika hali yakujiuliza na kujaribu kutafakar kwanin wasanii wa bongo flava au maigizo wakiniona sehem katika mazingira ya face to face hustuka na kusimamana kujaribu kubadilisha njia

Hali hii imenipa maswal sanaa lakin nimepata sababu huenda nikawa nafanana na sudy brown kijana anaewafuatilia maisha ya wasanii wakiwa mitaan maana wasanii niliowakuta mtaan na kutaka kukimbia walikua na mshtuko mkubwa kuonana na wao maeneo hayo au wakuu
Mbona unafanana na Shilole ila hauna unene mzembe alio nao yeye
 
Ipo siku ukichangia IPP( International Pumba Point) za kutatanisha hatuhangaiki Sana picha tunayo
Hahaaa so we hua unacoment pumba na kwanin ucoment pumba kumbe ndio maana mna penda kujificha sababu mnajijua mtacoment pumba
 
Nilivyosoma tu ID "SAMAKI UREMBO" nikasema tayari tushapata kaoge wa JF.
Hii ndio shuguli yangu lazima tutumie mitandao kwa faida sio kupoteza bando la bureView attachment 2221306View attachment 2221307View attachment 2221308View attachment 2221312View attachment 2221309View attachment 2221310View attachment 2221311View attachment 2221313
IMG-20220131-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom