Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwe kidogoo utakulaaNdo maana kikwete alisema, ukitaka kula sharti uliwe,
Sasa hawataki kuliwa, ndo inakula kwao ss 🙂 🙂 🙂
Mkuu Suma Lee aliamua kuacha mziki ( Alhamdulilah amekua mtu dini ) hakufulia!1.mb dog
2.z anto
3.sumalee
4.spark
5.keisha
6.pingu na deso
7.kassim mganga
Huyo namba saba toa hajafulia1.mb dog
2.z anto
3.sumalee
4.spark
5.keisha
6.pingu na deso
7.kassim mganga
Utapataje fedh kama hautoi hitsongHivi kufulia ni kupi,kutokutoa nyimbo au kuishiwa kifedha ?????
tena kwa ushirikiano na radio fulani ya kishenzi...siwapendi hawa watuKwa sababu ya kubebeshwa ngada kwenda south pia hawa sijui kina babu tale ni kama wana control industry ya music unaweza toa wimbo wakakuminyia
Kwahiyo unataka kusema msanii anaye-hit sasa na akatengeneza pesa na akaweka miradi hawezi kuishi bila ya kutoa nyimbo ????Utapataje fedh kama hautoi hitsong
Na ana kampuni lake la usafirashaji mizigoMkuu Suma Lee aliamua kuacha mziki ( Alhamdulilah amekua mtu dini ) hakufulia!
ni baada ya kuacha upunda maana hyu alisha wekwa mpaka bondi uko pakistan yeye na mshkaji wake dalasi wa wolper.Na ana kampuni lake la usafirashaji mizigo
Tumsifu Yesu kristu.Na ana kampuni lake la usafirashaji mizigo