Wasanii Waliojitahidi kuepuka Skendo za hovyohovyo. Funguka leo !

Wasanii Waliojitahidi kuepuka Skendo za hovyohovyo. Funguka leo !

Habarini Wadau,

Katika Tasnia ya Muziki wa hapa nchini, kuna Wasanii pamoja na kuwepo katika industry hii wamejitahidi sana kutokuhusishwa na skendo za kuwachafua hovyo hovyo.

Hata pale panapotokea kuwa wanahusishwa na Skendo ghafla inaonekana kama wanasingiziwa tu.

Ukiacha wale wakongwe wa Zamani kama akina Mbaraka Mwinshehe, King kikii, wale wa Band mbalimbali n.k

Kuna vijana pia wamejitahidi kuzuia skendoz..mimi ninaowafahamu ni hawa:-

-Banana Zorro

-Lina

-MwanaFA

-Fid Q (Ya umarioo ni kusingiziwa)

-Jay Mo

-Weusi (ya kubebwa nafikiri ni rumuors)


Taja wengine...
Lina?
 
Huyu kijana ananifurahisha sana. Hajitengenezei mizengwe isiyo na maana. Yupo kikazi zaidi na anajielewa. Katika WCB ni yeye na Mavoko wasioendekeza viskendo visivyolipia.
Tena sana
 
Huyu kijana ananifurahisha sana. Hajitengenezei mizengwe isiyo na maana. Yupo kikazi zaidi na anajielewa. Katika WCB ni yeye na Mavoko wasioendekeza viskendo visivyolipia.
Huyu dogo anajielewa sana itakuwa kaenda shule na kwa kuimba WCB hakuna anayemfikia
 
Back
Top Bottom