Huko ndo mnayawashaga hadharaniMi siku zote huwa nalala naota naamka nikiomba siku 1 niende Jamaica nanisirudi kabisa milele
Hongera kwa Dr. Remmy na wasanii wote waliofanikiwa kurudi na familia zao za kizungu nyumbani.
Hii si kwa wasanii tu bali heko kwa waafrika wooote waliofanikiwa kurudisha familia hom!!
Na wewe irudishe familia yako kwenu Kilwa, using'ang'anie mjini, makaburi yenu yanakusubiri.