Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

Complaining are cheap that’s why everyone can afford it

Kura hatujapiga ila tunalalamika balaaa [emoji23][emoji23]

Nilitamani Marioo ashinde lakini siku mpigia kura...... my bad
 
Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

1. Msanii bora wa kiume: Harmonize

2. Msanii bora wa kike: Zuchu

3. Msanii bora wa Hip-hop: Bilnass

4. Msanii bora wa Hip-hop: Rosa Ree

5. Collabo bora ya mwaka: Nitongoze by Rayvanny ft Diamond

6. Wimbo bora Bongofleva: Kwikwi by Zuchu

7. Msanii bora chipukizi: Kontawa

8. Wimbo bora wa mwaka : Nakupenda by Jay Melody

9. Video bora ya mwaka: Mwambieni by Zuchu

10. Mwanamuziki bora wa kike chaguo la watu kidigitali: Zuchu

11. Msanii bora wa kiume Bongofleva: Mbosso

12. Msanii bora wa kiume chaguo la Watu : Diamond Platnumz

13. Msanii bora wa kiume wa Singeli : Dulla Makabila

14. Msanii bora wa kike wa Singeli: Mimah

15. Mtumbuiziaji bora wa kiume: Sholo Mwamba

16. Mtumbuizaji bora wa kike: Phina

17. Mwimbaji bora wa kiume Taarab: Hassan Doko

18. Mnyumbulikaji (Dance) bora wa kike: Angel Nyigu

19. Msanii bora wa kiume Raggae Dancehall: Badest

20. Msanii bora wa kike Reggae Dancehall: Dipper Rato

21. Mwanamuziki bora wa kiume vionjo vya asili: Awilo Kidume Cha Mbeya

22. Mwanamuziki bora wa kike vionjo vya asili: Elizabeth Malinganya

23. DJ bora wa kike: DJ Mamie

24. Producer bora : S2Kizzy

25. Tuzo ya heshima: Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.

Sijamuona Mwijaku
 
Watu wamepiga kura sio wao wamepanga nyie jamaa vipi hamfuatilii alafu mnamwaga lawama, ni kura zimepigwa na watu muwe mnafuatilia kabla ya kulaumu
Hata watu wakipiga kura maamuzi ya mwisho yanatolewa na waandaji wa tuzo
 
Ndio mana hizi tuzo zinazarauriwa,me ndio sikupoteza muda kabisa kuangalia!
 
yaani naona kabisa wimbo wa naogopa ya marioo&harmonize ndo ulipaswa kuwa kolabo bora ya mwaka.....

Na hili swala la harmonize kuwa msanii bora wa kiume ni sawa....ila mbona sasa katika nyimbo zake asichukue tuza hata moja kivipi[emoji848]
Msanii Bora wa mwaka Hana nyimbo yoyote Bora,inashangaza[emoji848]
 
Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

1. Msanii bora wa kiume: Harmonize

2. Msanii bora wa kike: Zuchu

3. Msanii bora wa Hip-hop: Bilnass

4. Msanii bora wa Hip-hop: Rosa Ree

5. Collabo bora ya mwaka: Nitongoze by Rayvanny ft Diamond

6. Wimbo bora Bongofleva: Kwikwi by Zuchu

7. Msanii bora chipukizi: Kontawa

8. Wimbo bora wa mwaka : Nakupenda by Jay Melody

9. Video bora ya mwaka: Mwambieni by Zuchu

10. Mwanamuziki bora wa kike chaguo la watu kidigitali: Zuchu

11. Msanii bora wa kiume Bongofleva: Mbosso

12. Msanii bora wa kiume chaguo la Watu : Diamond Platnumz

13. Msanii bora wa kiume wa Singeli : Dulla Makabila

14. Msanii bora wa kike wa Singeli: Mimah

15. Mtumbuiziaji bora wa kiume: Sholo Mwamba

16. Mtumbuizaji bora wa kike: Phina

17. Mwimbaji bora wa kiume Taarab: Hassan Doko

18. Mnyumbulikaji (Dance) bora wa kike: Angel Nyigu

19. Msanii bora wa kiume Raggae Dancehall: Badest

20. Msanii bora wa kike Reggae Dancehall: Dipper Rato

21. Mwanamuziki bora wa kiume vionjo vya asili: Awilo Kidume Cha Mbeya

22. Mwanamuziki bora wa kike vionjo vya asili: Elizabeth Malinganya

23. DJ bora wa kike: DJ Mamie

24. Producer bora : S2Kizzy

25. Tuzo ya heshima: Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Wamejitahidi ila ifikie mahali huyo namba 25 aache kutukuzwa. Yani inakuwa kama hii nchi hakuna mtu ambaye amewahi kufanya kitu cha maana zaidi yake tu. Sio kwa chuki ila kujipendekeza kumezidi. Kuna Public figures kibao zimeishi bila makando kando mpeni hata Shein basi kama kweli lengo ni kuwatuza watu.
 
Wamejitahidi ila ifikie mahali huyo namba 25 aache kutukuzwa. Yani inakuwa kama hii nchi hakuna mtu ambaye amewahi kufanya kitu cha maana zaidi yake tu. Sio kwa chuki ila kujipendekeza kumezidi. Kuna Public figures kibao zimeishi bila makando kando mpeni hata Shein basi kama kweli lengo ni kuwatuza watu.
Well said mkuu why wasimpe tunzo hii Mr.Bichuka Rehani?,sitaweza comments again uzi huu maana wote hao simjui hata mmoja
 
Wamejitahidi ila ifikie mahali huyo namba 25 aache kutukuzwa. Yani inakuwa kama hii nchi hakuna mtu ambaye amewahi kufanya kitu cha maana zaidi yake tu. Sio kwa chuki ila kujipendekeza kumezidi. Kuna Public figures kibao zimeishi bila makando kando mpeni hata Shein basi kama kweli lengo ni kuwatuza watu.
Jiue dada
 
Wamejitahidi ila ifikie mahali huyo namba 25 aache kutukuzwa. Yani inakuwa kama hii nchi hakuna mtu ambaye amewahi kufanya kitu cha maana zaidi yake tu. Sio kwa chuki ila kujipendekeza kumezidi. Kuna Public figures kibao zimeishi bila makando kando mpeni hata Shein basi kama kweli lengo ni kuwatuza watu.
Ila kwa upande wa burudani anastahili Tuzo kiukweli kabisa kanyanyua sanaa ya mziki ila uko kwenye siasa ndio kavurunda
 
Mbosso kapewa tuzo, marioo kakosa duu.
 
ASilimia kubwa naona wapo sahihi

Harmonize kawa msanii bora kwasababu katoa nyimbo nyingi kali kali lakin nyimbo zake haziwez fikia huo wimbo uliokuwa bora
 
Wasanii walioshinda Tuzo za Tanzania Music Awards 2023

1. Msanii bora wa kiume: Harmonize

2. Msanii bora wa kike: Zuchu

3. Msanii bora wa Hip-hop: Bilnass

4. Msanii bora wa Hip-hop: Rosa Ree

5. Collabo bora ya mwaka: Nitongoze by Rayvanny ft Diamond

6. Wimbo bora Bongofleva: Kwikwi by Zuchu

7. Msanii bora chipukizi: Kontawa

8. Wimbo bora wa mwaka : Nakupenda by Jay Melody

9. Video bora ya mwaka: Mwambieni by Zuchu

10. Mwanamuziki bora wa kike chaguo la watu kidigitali: Zuchu

11. Msanii bora wa kiume Bongofleva: Mbosso

12. Msanii bora wa kiume chaguo la Watu : Diamond Platnumz

13. Msanii bora wa kiume wa Singeli : Dulla Makabila

14. Msanii bora wa kike wa Singeli: Mimah

15. Mtumbuiziaji bora wa kiume: Sholo Mwamba

16. Mtumbuizaji bora wa kike: Phina

17. Mwimbaji bora wa kiume Taarab: Hassan Doko

18. Mnyumbulikaji (Dance) bora wa kike: Angel Nyigu

19. Msanii bora wa kiume Raggae Dancehall: Badest

20. Msanii bora wa kike Reggae Dancehall: Dipper Rato

21. Mwanamuziki bora wa kiume vionjo vya asili: Awilo Kidume Cha Mbeya

22. Mwanamuziki bora wa kike vionjo vya asili: Elizabeth Malinganya

23. DJ bora wa kike: DJ Mamie

24. Producer bora : S2Kizzy

25. Tuzo ya heshima: Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Zilikuwa tuzo za Zuchu.
 
Wamejitahidi ila ifikie mahali huyo namba 25 aache kutukuzwa. Yani inakuwa kama hii nchi hakuna mtu ambaye amewahi kufanya kitu cha maana zaidi yake tu. Sio kwa chuki ila kujipendekeza kumezidi. Kuna Public figures kibao zimeishi bila makando kando mpeni hata Shein basi kama kweli lengo ni kuwatuza watu.

Mkuu kwani una matatizo na mshika rimoti wa Msoga? [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom